MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,745
- 71,583
Mkono mtupu haulambwi...π π π π
Vijanaaa wa hovyoo wataishia imba mapambioa tuu... Mikono yao mifupi hata kichwani haifiki.. alafu wanataka kupima mkono unao enda Hadi nyumba ya jirani
Ukiwa na mwamba wa Cambodia nishtue Mzee π π π€£Ngoja nikuunganishe na mwamba mmoja humu anaishi Marekani, atakusaidia.....
KabisaKweli pachaaa ππ
Hahaha mdogo wangu hivi kiswahili ulipataga ngapi shuleni, si nimetoka kusema hapo kwamba Boss wangu yuko serikalini so obviously hilo gari ni lake, mie huwa nalipanda nikiwa nasafiri naye tu [emoji2][emoji2][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] House girl unatembelea GXR LC300
Sio unanipanga tuNaam, tufanye mpango nawe uende Mamtoni..
Hakuna kitu kama hicho braza!dah, we sio mwenzetu...π
you're loaded
π π πHahaha mdogo wangu hivi kiswahili ulipataga ngapi shuleni, si nimetoka kusema hapo kwamba Boss wangu yuko serikalini so obviously hilo gari ni lake, mie huwa nalipanda nikiwa nasafiri naye tu [emoji2][emoji2]
Tatizo unaweza kuja na tusionane maana kutoka ni mpaka niruhusiwe na boss ujue[emoji28][emoji28][emoji28] Kesho nakuja Dom.. naanza safari alafjiri nitakuelea huko huko nikifika hiyo E
Why would you wish to go to that hell-hole ?Ukiwa na mwamba wa Cambodia nishtue Mzee π π π€£
ππππ Ningekuwa boss wa boss wako ningekuja moja Kwa mojaaa.. dunia haipo na usawaaa π πTatizo unaweza kuja na tusionane maana kutoka ni mpaka niruhusiwe na boss ujue
Jokes aside bruv! Mbona kwenda nje inawezekana mazee....Sio unanipanga tu
bado unasoma au unasubiria maajabu ya james gunnHakuna kitu kama hicho braza!
Miaka ya 90's kama hujiongezi ulikuwa unaishia kuwa mdwanzi.....
Hakuna Google, Instagram wala Twitter, lakini tulikuwa tumejaza Album za B.I.G na PAC...
Halafu LC300 lenyewe ni Twin-Turbo....π π π
House girl unatumia LC300, nifanye mpangooo life limenichapaaaa
The Boy Wonder umeona sasa kwanini napishana na huyu dada yangu... Anafuata upepo Tu wa boss ndani ya chuma cha moto
π π π Lina vimuli muli usipo pishaaa inakula kwakoHalafu LC300 lenyewe ni Twin-Turbo....
Kwakweli mchwa chake ni kichuguu, milima waachie ngedere....
Nafuatilia baadhi ya kazi za DC,bado unasoma au unasubiria maajabu ya james gunn
Anhaa, ndiyo zile zenye namba BFS na BFU ? π€£ π€£π π π Lina vimuli muli usipo pishaaa inakula kwako
Aahh sasa hiyo mbona ni kawaida tu, watumishi wengi wanaoendeshwa kwenye hayo magari ambao walihamishiwa dodoma na wana familia zao dar, huwa wanasafiri sana na mahousegirl na mahouseboy wao humo kwenye hayo magari[emoji28][emoji28][emoji28]
House girl unatumia LC300, nifanye mpangooo life limenichapaaaa
The Boy Wonder umeona sasa kwanini napishana na huyu dada yangu... Anafuata upepo Tu wa boss ndani ya chuma cha moto
hamna aisee,πNafuatilia baadhi ya kazi za DC,
Japo mbali na zile Christopher Nolan sidhani kama kuna maajabu wamefanya siku za karibuni.
Nje naonaga kama unataka kupata exposure.. Ila life bongoo tuuu. Ingawa nilikuwa kina kipindi napenda Sana maisha yangu nimalizie U.KJokes aside bruv! Mbona kwenda nje inawezekana mazee....
Inabidi upate ushauri mzuri, ujue unaenda nchi gani na kwa malengo gani...