Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku tatu nakimbilia wapi?

Mwee Dokta ,Wakati nataka iwe mwezi kabisa


Yule ntamleta akae hata mwezi.
Ukikaa muda mrefu utapamiss sana kwenu ujue!!!😏😏

🀣🀣🀣🀣🀣
Mwezi si atajua mpaka ashinde walimu??? Tumpe wiki tu inamtosha!!!!!
 
Ukikaa muda mrefu utapamiss sana kwenu ujue!!!😏😏

🀣🀣🀣🀣🀣
Mwezi si atajua mpaka ashinde walimu??? Tumpe wiki tu inamtosha!!!!!
Wakati nataka ikiwezekana nihamie moja kwa mojaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’”


Wiki 2 zitamtosha
Hapa nawaza kula,sijui kinalika chakula kweliπŸ₯Ί
Na Nina njaa
 
Wakati nataka ikiwezekana nihamie moja kwa mojaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’”


Wiki 2 zitamtosha
Hapa nawaza kula,sijui kinalika chakula kweliπŸ₯Ί
Na Nina njaa
Jamani poleee!!!!πŸ™πŸ™
I can imagine unavyopata mawazo muda wa kula ukikaribia na una njaa.😡😡

🀣🀣🀣🀣
Chumba cha wageni kipo!! Chamsingi uwe tayari kula lunch/dinner muda wowote, usije ukanisema kwa watu nakutesa!πŸ™ƒπŸ˜
 
Jikoni si kupo wazi lakini?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yaani amepika ndizi nyama
Ngoja nijikaze Nile hivyohivyo,njaa isije kuniua.
 
Jikoni si kupo wazi lakini?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yaani amepika ndizi nyama
Ngoja nijikaze Nile hivyohivyo,njaa isije kuniua.
ALWAYS!!!! Yani ni wewe tu na mood yako!

Jaribu ulete mrejesho!!!!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…