Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukweli ni kwamba hata upigike kiasi gani sio kila kazi yafaa kufanya.
Saint Anne na Jadda wanatuchora tu
Mimi kazi yoyote nafanya
Hasa hiyo ya ubeki tatu, haina complications nyingi.

Hiyo ya ukonda wa magari siwezi, Sina hizo nguvu.

Toeni ajira hizo
Siyo tunakuja humu kucheka wote, nyie pesa mnazo na ajira za kutuconnect mnazo ila sisi sasa tunakufa njaa, jobless mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…