Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu
Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu
Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu
mie kupika hadi nitake, G nikiendaga kwake utasikia "ukiwepo km haupo sasa ndo nn aaah" namjibu nitue wee kaka mie sio hausigeli wako, na sijaja hapa kukupikiaa, kabla ya kukutana na mie alikua anakupikia nani? Hapo buzzy kuswama mitandaoni sina habari, akipika fastaa nshagoza makalio kulaa.
mie kupika hadi nitake, G nikiendaga kwake utasikia "ukiwepo km haupo sasa ndo nn aaah" namjibu nitue wee kaka mie sio hausigeli wako, na sijaja hapa kukupikiaa, kabla ya kukutana na mie alikua anakupikia nani? Hapo buzzy kuswama mitandaoni sina habari, akipika fastaa nshagoza makalio kulaa.