Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimechekaaa had baas, mbna kotazi za gavoo siku hizi zimekarabatiwaa..
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜โ˜บ๏ธโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ
Cheka utanue mapafu udugu akeeee jf watu tuna vitrukoo sio kidogooo!!

Kwahio nitoke hapa kotas niende kukaa wapi mie hebu wee udugu akee mjuaji unaeifahamu Nyakibimbirii vizuri uniambie kwanii?? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜


Nasubiria jibu nimekaa paleeee
๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡!!

#Tupunguze ujuajii๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ
 
uduguuu kwan kuna nn?? Mbna naonaa manjegekaaaa??

Ukisema kotaz za serikali, una maanisha, DRs, Wanajeshi, polisi, Walimu, Etc.

Mbna familia nyingi ndo zimezaliwa na kukuliaa ktk kotazii, tena kwa jina maarufu huwa huitwa "free town".
 
Kuna watu hata Kota wanazisikia redioni
Wanakaa vijumba havieleweki kodi mgogoro,wengine huishia kuingia kwenye njia zisizo halali ili waipate.
Kuna watu wanadangia kodi,,,
Kuna grp moja nipo,dada anatafuta namna ya kwenda kutapeli mtu ili apate kodi.

Ukipata Neema ya kuishi Kota mshukuru Mungu.

Mimi natamani sehemu ninakofanya kazi kungekuwa na kota maana si kwa kuchoka huku ninakochoka kwenda na kurudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ