Kuna watu hata Kota wanazisikia redioni
Wanakaa vijumba havieleweki kodi mgogoro,wengine huishia kuingia kwenye njia zisizo halali ili waipate.
Kuna watu wanadangia kodi,,,
Kuna grp moja nipo,dada anatafuta namna ya kwenda kutapeli mtu ili apate kodi.
Ukipata Neema ya kuishi Kota mshukuru Mungu.
Mimi natamani sehemu ninakofanya kazi kungekuwa na kota maana si kwa kuchoka huku ninakochoka kwenda na kurudi.