Dr,
Ni gahawa ama chai ya rangi?
Kama ni black tea, basi sipo hapa kuharibu utaratibu wa mlo wako..ila please punguza utumiaji wa chakula na chai ya rangi.
Chai hupooza umeng'enyaji haswa uvunaji wa madini chuma. Ambayo kikawaida ndiyo maalum kwa ajili ya kuongeza damu mwilini.
NB: Ni ushauri tu.