Selfika na JF: Snap it. Show it

Dr,

Ni gahawa ama chai ya rangi?

Kama ni black tea, basi sipo hapa kuharibu utaratibu wa mlo wako..ila please punguza utumiaji wa chakula na chai ya rangi.

Chai hupooza umeng'enyaji haswa uvunaji wa madini chuma. Ambayo kikawaida ndiyo maalum kwa ajili ya kuongeza damu mwilini.

NB: Ni ushauri tu.
 
Thanks for your concern & advice Dr!!!😊
Ilikua ni Coca-Cola....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…