Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .

Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .
Niandikie hata pm please

Hapa yaweza leta maneno

Nizamie PM iko wazi


Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimeua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu
 
Dah 😂😂😂
 
Ndivyo ilivyo kwenye watu wengi na kila mtu ana akili, mtazamo na mahangaiko yake. Humu tabia za hovyo zipo nyingi sana.
 
Kaimba Nani hii?? Mbona mashairi makali saana
 
Ndivyo ilivyo kwenye watu wengi na kila mtu ana akili, mtazamo na mahangaiko yake. Humu tabia za hovyo zipo nyingi sana.
Dah
Mtu akaamua tu kunichagua kwa mtu

Nyie watu wabaya,,hadi mimi?


Tena picha hizohizi ndo ziliniponza...
Huwa Naomba omba watu picha hapa jukwaani,,mtu akatambaa humohumo
najikuta Nina kesi
.


Tinsley atake easy tu
 
Humu ata mtu anichukie vip kwasasa napotezea tu mkuu sina mtu nae juana nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…