Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,306
- 96,384
Unajua uzuri qna uona mpendaji??Sio kweli
Antonnia ni moto wa kuotea mbali mm sijapata na Mungu alijua angenipa tako wangekoma nikateleza bafuni fyuu😂😂
Unajua uzuri qna uona mpendaji??Sio kweli
Antonnia ni moto wa kuotea mbali mm sijapata na Mungu alijua angenipa tako wangekoma nikateleza bafuni fyuu😂😂
Aaliyyah nitetee😪😪Mtajua wenyewee!!😏😏😏
Sijaelewa simu ishapotea iyo namba napiga vipi Kwa simuyanguUkipoteza simu yako ya mkononi:
1) Piga *#06# kutoka kwa simu yako.
2) Simu yako ya mkononi inaonyesha tarakimu 15 za kipekee.
3) Andika nambari hii mahali popote, ambayo itasaidia kufuatilia simu yako ikiwa itaibiwa.
4) Mara baada ya kuibiwa inabidi utume nambari hii ya IMEI yenye tarakimu 15 kwa cop@vsnl.net
5) Utapata mahali ambapo seti yako ya mkono inaendeshwa hata ikiwa nambari yako inabadilishwa.
Share ujumbe huu kwa marafiki na ndugu zako wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwehuuuu😄😄!!Umelikoroga😂
Mi mbaya Kama sufuria🤣😂 AaliyyahNdio tupiaaa !! Una kiherehere cha kuchambua wengine huku wee mwenyewe...😏😏😏😏😏!!
selfika ni kuchati na picha sio blah blah tu!
Weka full naweee! Nuzulati Aaliyah njoeni muone mkono wahuyu mwehuuu mtie nenoo 😊😊!!Mi mbaya Kama sufuria🤣😂View attachment 2676325
Mi mwehu na mdogo ako kapenda hivyo hivyo🤣😂😂😂
Nawe pia Unampenda kufaaaaa! Fanya kumfikishia salamu kwanzaaa nimemmiso hadi naumwaa!!Mi mwehu na mdogo ako kapenda hivyo hivyo🤣😂😂😂
Akili za intelli una zielewa🤣😂😂Nawe pia Unampenda kufaaaaa!
Dah,Sio kweli
Antonnia ni moto wa kuotea mbali mm sijapata na Mungu alijua angenipa tako wangekoma nikateleza bafuni fyuu![]()
Nizielewe ili nigundue nini mie!😏🚮Akili za intelli una zielewa🤣😂😂
Weee waongo haoo usiwasikilize wanatumaga humuu wamebarikiwaaaaaa kinoumaaa!!Dah,
Mrembo ni kweli huna?
Kumbee , wanatuzuga tuu.Weee waongo haoo usiwasikilize wanatumaga humuu wamebarikiwaaaaaa kinoumaaa!!
Ndio wanajizima data tu kutuzuga!!Kumbee , wanatuzuga tuu.
Ningeshangaa sana.
Kweli sinaDah,
Mrembo ni kweli huna?
😂😂Huyo mwehuuuu😄😄!!
Hata usipo kuwa nayo, we ni important person for me🤗🤗Kweli sina
Ume furahi sana leo😂🤣🤣