Selfika na JF: Snap it. Show it

Mambo ya text bila kumuona mtuπŸ˜…πŸ˜…
Inawezekana hiyo traaamu kinoma ni nanihiii mimi nazani baridi. πŸƒπŸƒπŸƒ
Kama mpo karibu msijibaneee wapendwaa maisha ndio hayahayaaa πŸ˜›πŸ€ πŸ€ πŸ€ !!
 
Reactions: 511
Nitasubiri by Jux
Huku naondoka , kibaridi hatari nilirudi ghetto tu .
umenikumbusha mbali, 2013 hiyo Nitasubiri ya jux kuna jamaa alikua ananiimbia,

Nyie nimetokaa mbalii wallah, halali nisemee nimezeeka sasa.
 
Tuko karibu na nani tena🀣🀣
Urudi tu Nyakiboo sio kwa fujo hizi.
Kwakweli hebu nifanye nirudi Zangu Nyakiboo kesho skonga mi saii nipo kujichetua tu jijini kwenyuu wenyewe 😊😊😁!!
 
Reactions: 511
Mkaachana wapi na huyo jamaa dah .

Hahaa mkongwe kwenye mapenzi .
Yule hatukuachanaa, ila aliondoka mie nikiwa shule, narudi likizo simkuti naambiwa kaenda Rwanda kwa baba ake mdogo, toka hapo sina mawasiliano nae tenaa.

Namkumbukagaa.
 
Yule hatukuachanaa, ila aliondoka mie nikiwa shule, narudi likizo simkuti naambiwa kaenda Rwanda kwa baba ake mdogo, toka hapo sina mawasiliano nae tenaa.

Namkumbukagaa.
Aisee pole dah
Alikuwa first love nn

Akiruidi je sasa
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…