Selfika na JF: Snap it. Show it

Usijareee Mie nipo furuuuuu πŸ€ΈπŸ•Ί tena ndio naipenda hii hali tramu kinoumaaa!!
Mambo ya text bila kumuona mtuπŸ˜…πŸ˜…
Inawezekana hiyo traaamu kinoma ni nanihiii mimi nazani baridi. πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Mambo ya text bila kumuona mtuπŸ˜…πŸ˜…
Inawezekana hiyo traaamu kinoma ni nanihiii mimi nazani baridi. πŸƒπŸƒπŸƒ
Kama mpo karibu msijibaneee wapendwaa maisha ndio hayahayaaa πŸ˜›πŸ€ πŸ€ πŸ€ !!
 
Reactions: 511
Nitasubiri by Jux
Huku naondoka , kibaridi hatari nilirudi ghetto tu .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali, 2013 hiyo Nitasubiri ya jux kuna jamaa alikua ananiimbia,

Nyie nimetokaa mbalii wallah, halali nisemee nimezeeka sasa.
 
Tuko karibu na nani tena🀣🀣
Urudi tu Nyakiboo sio kwa fujo hizi.
Kwakweli hebu nifanye nirudi Zangu Nyakiboo kesho skonga mi saii nipo kujichetua tu jijini kwenyuu wenyewe 😊😊😁!!
 
Reactions: 511
Najiandaa dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kapiga cm, kasema kuna sehem kaenda akiwa anarudi atanstuaa na mie nianze kutokaa hapaa.
Nenda dear
Baridi hii sio ya kukaa solo kabisa
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…