Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Fanya mpango basi mamy 😍😍unaanzaje kuninyima picha kwa mfano 😀😀Umechelewa![]()
Fanya mpango basi mamy 😍😍unaanzaje kuninyima picha kwa mfano 😀😀Umechelewa![]()
Ungeteseka sana na ungetesa wengi sana











...hii dunia Ina vitukoNdio vizuri tuugulie maumivu sawa
Hata mimi nashangaa.
![]()






You're welcome
Nitakupa baadayeFanya mpango basi mamyunaanzaje kuninyima picha kwa mfano
![]()





Aiseee
Ngoja siku nijitoe ufahamu nimuulize hiloSasa hapa umuulize Kaka yako max..wewe si anakubadilishiaga majina haraka
Mwambie kwanini asiyaweke huku Yale mazaga yote.
Hii tabia ya kufuta picha umeanzisha wewe,ulipofuta picha yako naona members wakaiga kwako😀😀😀ukuje piemuni unirushie moja kamoyo katulia.
Hata mimi nashangaa.
![]()
Now huwa huchanganyikiwi?Mwanzoni kabisa kuanza kukutana na response za "Karibu" na "You are welcome" nilikuwa nachanganyikiwa.
Kumbe ni jibu tu la kawaida.
Tufanye jambo basi
Ndio muulize.Ngoja siku nijitoe ufahamu nimuulize hilo

.wengine hatujawahiSalaalee
Kweli ameanza yeyeHii tabia ya kufuta picha umeanzisha wewe,ulipofuta picha yako naona members wakaiga kwakoukuje piemuni unirushie moja kamoyo katulia.
😂😂😂😂😂Lazima nichukie unasoma comments 1000 zote picha zimefutwa
Ulivyomind sasa!
Ahadi ni deni nasubiri mpendwaNitakupa baadaye
Njoo
Hebu kwanza zitafute pale juu.Ahadi ni deni nasubiri mpendwa


Kweli kabisa wale wote mlioweka picha zenu halafu mkazifuta kabla wengine hatujaziona adhabu yenu ni kuja pm na kututumia picha zenu tena full siyo nusu nusu tunaanza na Atoto na cute bHii tabia ya kufuta picha umeanzisha wewe,ulipofuta picha yako naona members wakaiga kwakoukuje piemuni unirushie moja kamoyo katulia.