Chukua vijanaaa wee, damu changa, damuya motoo, ukitoka mzagamuoni unatafuta pain killer na maji ya kunywaa.Mweh mshamba wakuja mwanamke yupoyupo tu naibwaje babu nawee!!
Kwanza Vijana sio fleva zangu mieee wana mambo miambiliiii ishirini kidogoooo[emoji57]!
Acha nipambane naharee yangu tyuuuu!!
Nliishawahi kutamani hiviHahahaha..............
Hii Nchi ingeendelea kutawaliwa na Wazungu hadi walau Mwaka 2000 huenda tungekuwa tumepiga hatua kama Afrika Kusini au zaidi.
Sisi kinachotugharimu ni Rushwa
Eti inasemekana yule Yuda Iskarioti aliyemuuza Yesu ana asili ya Tanzania.
Nikimaliza beer yangu ya nne nitataja Kabila lake π€ͺ
Mie yahivo hapana udugu π€ π€ !![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu snack hiyooo, ni tamuuu balaaaa.
[emoji39][emoji39][emoji39]
Basi wenzio hao wazungu ndo hawataki kuwasikia, utaskia wameleta [emoji2380][emoji2380], utadhani watu wanashikiwa bundukii, lol.Noma sana
Mheshimiwe wazee wetu
Mimi wazungu nawapenda , wametuletea mambo mazuri , tungebaki vile sijui ingekuwaje .
Ili nigundue nini miee hekaheka siziwezi uduguuu π€ π!Chukua vijanaaa wee, damu changa, damuya motoo, ukitoka mzagamuoni unatafuta pain killer na maji ya kunywaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unatakaaa ya Goviii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie yahivo hapana udugu [emoji1783][emoji1783]!!
Hebu sema kweliiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ili nigundue nini miee hekaheka siziwezi udugu [emoji1783][emoji16]!
Acha nitulie nilienae anitoshelezaaa mpaka nabakiaaa [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]!!
Kujifanya bilionaireSasa dear Zari anajisahauje? Emu sema basi.
Mbna yuko cool sanaa BL. au mie mahabaa yamenipofushaaa
Acha roho mbaya bana. Tupo wazee wenzako hapa tuna hamu ya kuleaππ cocasticIli nigundue nini miee hekaheka siziwezi uduguuu π€ π!
Acha nitulie miee nilienae anitoshelezaaa mpaka nabakiaaa ππππ!!
Alichokosea Nyerere ni kutoweka mifumo ya kudhibiti Wizi na Ufisadi baada ya Yeye kuondoka.Nliishawahi kutamani hivi
Tungekuwa mbali sana na kufikia malengo makubwa.
Wakenya wanatucheka kuwa hatuna skyscrapers nyingi
Zipo mbili tu za pale posta .
Heheee balaaaBasi wenzio hao wazungu ndo hawataki kuwasikia, utaskia wameleta [emoji2380][emoji2380], utadhani watu wanashikiwa bundukii, lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio point sasaπ!!Umeanza kuogopa. Heshima pesa, salamu ni kelele tu.
Wakunyumba punguza huu ujinga, kaka yako niko hapa cocastic πUnatakaaa ya Goviii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema nikutengenezee, tena lingozii ntaliweka likubwaaaa.
So sadAlichokosea Nyerere ni kutoweka mifumo ya kudhibiti Wizi na Ufisadi baada ya Yeye kuondoka.
Viongozi wenzake waliomfuatia wameitafuna Nchi na wanaendelea kuitafuna as wameifanya shamba la Bibi huku wakiendelea kulindwa na vyombo vya Ulinzi π
π π π πππHii ndio point sasaπ!!
Best koment of the day from youπ€
Govi tenaa πππππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈπ€Unatakaaa ya Goviii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema nikutengenezee, tena lingozii ntaliweka likubwaaaa.
Mabibi saiz yao mababu au sio classmate Grahams πMweh mie moyo wangu wa nafasi moja tu tayari iko occupied!
Kwanza nyie wanawafaa Warembo vigoriiii wateketeke! Sio sie mibibi!
Kumbe kaolewa na mjedaHivi walikudokeza ameolewa na Mjeda? π€ͺ