Huko na karume nilienda jana hapo ni nimawasiliano mule stendi nilielekezwa kwa pailo fulani Hivi ana baloo za mitumba na bei nafuu sana ndio anaanza kuzifungua leo!
Jamaa kapiga simu , customer care ana sauti nzuri wakapeana contact .
.
Hii ishanitokea wakati nipo mtoto napenda kupigia customer care 😂😂 kuwasumbua kuhusu APN dah .
Lol niliona juzi mmama mmoja amekatakata migoho kachanganya na karanga na karoti kaweka kwenye vi nylon anauza nikajisemea tu nhiiiii kweli tembea uone sio barabara na maghorofa !! Ushambaa huu🤠🤠🙌