Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaliyyah

Shangaziiii uko wapiii, nakujaa hapo kula nyamaa, tena uniambie kabisa nipige code gan,


Maana kuna mualiko nimepewa, hizo code za kutupia ni jau.
nifanyie fea, nilipuke km navyolipukagaaa.

Nakuja na ndizi kabisaa, hata usipatee tabuu shangazii akee.
 
Karibu aunt
Wew njoo upendavyo tu muhimu andaa tumbo tuπŸ˜€
Wamekupa code Gabi nikupe majibu
Wakikuuliza Asalam aleykum unajibu waleykum salam πŸ˜€ingia ndani nawa sema bismillah Anza na nyama🀣🀣🀣
 
Mjep

Wee baba tamuuu, kisa nilikataa kubadili dini ndo na Eid hainihusuu?? Hebu ufanyee uletee mazaga zaga niandaee mnuso m1 matratraa sanaaa, yaan ntatoa kitu ki1 cha kwendraaaa utajilamba ulimi na kujiuma menoo.

au nije hapo hapo kwa mke mwenza mama wawili??
 
Reactions: 511
Karibu aunt
Wew njoo upendavyo tu muhimu andaa tumbo tu

Wamekupa code Gabi nikupe majibu
Wakikuuliza Asalam aleykum unajibu waleykum salam
ingia ndani nawa sema bismillah Anza na nyama
Shangaziii huku walikonipa mualiko, wanasema nipige code za kujisitiri yaan nisioneshee hata ngozi,


Sasa mie nshazoea mifupa yotee nje ipambane na jua, naweza wapiii?? Woiiiiih.

hatariii tupuu.
 
Sponsor out πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kiukweli i wont brag ,kanisani nipo serious sana kauzu ile mbaya πŸ˜‚πŸ˜‚
unaweza ukalipata huko churchπŸ˜‚ wale madon wanaingia ibada ya kwanza na suti wamepaki v8 nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…