cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Lile chimbo hatari sana,
Hata yale matukio mengine mle ilikuwa ni kawaida sana. Maana ukijichanganya pale chagua, ulalie majani au ufanyishwe mazoezi.
Mungu atusamehe tu kwa kweli.





sisi tulikua tunaenda kutafuta uyoga, masuku na madongaa, sasa tumetafutaa wee ikabidi tukae chinii tupumzike tulee masuku.Bas tukaanza kelele, si unajua utoto tena, kuja kushangaa mjeda huyu hapa, tukamsalimia vizuri, anapitaa, sasa alivyopita sisi tukawa waoga tukaanza kuondoka kurudi, anatuangalia tyuuh had tunapotea lahaulaa mbelee tukakutana na wengne wawili.
Ndo mtiti ukaanza hapoo











Ile siku sitasahau, nilichambwaa mie, toka pale mie wanajeshi sipatani nao kabisaaa.

