Selfika na JF: Snap it. Show it

Ziko fresh na hazijakamaa hata
Kuna sehemu tu nimeungua
Ni kama tu kuungua kwa relaxer .
Yaani hizo dawa zenu mnaziweza wenyewe πŸ˜‚

Siku nawekwa mara ya kwanza,mama yangu alikaa pembeni
Alivyosikia tu nasema pembeni kumeanza kuuma akasema muosheni mtoto harakaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Zilioshwa nywele zikawa vilevile kama hazijapakwa dawaπŸ˜†
 
Dawa ni kali sana
Siku jamani niliunguzwa hdi kwenye sikio . ndo nikaona hapa ni shida tu tunazitafuta .
 
Dawa ni kali sana
Siku jamani niliunguzwa hdi kwenye sikio . ndo nikaona hapa ni shida tu tunazitafuta .
Ukitaka uzuri sharti uzurike.
Unaona kuunguzwa kwa juu juu tu, vipi athari za hiyo dawa inayoingia mwilini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…