Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,225
- 96,113
Malizia Sasa, ili nikukabeee😂😀😀Mkuu utakuwa mtabiri yaani nipo hapa mtaa wa kongo namalizia ukwaju leo biashara mbaya mkuu🙇🏼♀️
Malizia Sasa, ili nikukabeee😂😀😀Mkuu utakuwa mtabiri yaani nipo hapa mtaa wa kongo namalizia ukwaju leo biashara mbaya mkuu🙇🏼♀️
Sijambo mpendwa wanguEwaah kipenzi
Haujambo ??
😛😅😅👌👌💃Chuma kingine hiki hapa mshamba_hachekwi Intelligent businessman endeleeni kurukaruka😅
Kwann mnawaza kuachana ,kugawana mali tu?Na hata Niki zipata, hayo masula ya kugawana Mali 50-50 siyawezi🤣😂
👉Ma mentor wangu wengu wamepotea kiss inshu hiyo🤣😂
Hata wewe teacher wangu Jack Palladino ulisha sema mapenzi yapite hivii kwa Sasa🤣😂😂, so why should I fall on the trap🤣😂
😅😅😅🤣🤣[mention]Tayana-wog [/mention] boss lady mrembo x wangu Hujambo
VIjana wanakuogopa...😛😅😅👌👌💃
KumbeeeVIjana wanakuogopa...
🤣🤣🤣We ulipotelea wapiSelfika basi mrembo wa jf bila ww nazima data
We ulipotelea wapi
Nishaselfika sn nikiwa chuga hapa





Wanasema wewe ni shangazi😅Kumbeee
Kwann jmn😅
an angel.....Daddy is my Hero.Binti yangu leo katokelezea kama anaenda ngoma .View attachment 2666674
Nusu ya moyo wangu natamani aendelee kuwa mtoto tu hivi hivi.an angel.....
Nipo poaSijambo mpendwa wangu
Sijui wewe?
niko poa, naona umeokokamshamba_hachekwi uko poa
Ahaaha sasaiv nimeokoka kabisa sitak utaniniko poa, naona umeokoka
Inaitwaje hii, maneno mazuri
/
Mimi ni yule mmoja, kati ya wale kumi.
Uliowaponya ukoma, kwako nimerudi.
Wale tisa sijui,
Ila mimi nimekuja kusema Asante!
Najiuliza, Nikulipe nini?
Kwa yote ulonitendea mimi,
Baba ni mengi,
Siwezi lipa hata kwa senti.
Natafuta namna nzuri ya kukushukuru ninakosa,
Natafuta maneno mazuri ya kukushukuru ninakosa,
Ee Baba,
Nikulipe nini, nikulipe nini?
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
(Uliyonitendea...)
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.