Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Kazana, kuna tuzoTo
Kiukweli, Acha niwe single kwa Sasa😂🤣
Kazana, kuna tuzoTo
Kiukweli, Acha niwe single kwa Sasa😂🤣
tutakufanyia sherehe....Niache
Sipo Huko Tena
Mi nafurahi Sana kiukweli, nikisema nataka niwe single namaanisha.Anatakiwa awe makini sana!
Safi kijanaMi nafurahi Sana kiukweli, nikisema nataka niwe single namaanisha.
👉It's just I, me and myself 💪
Kwani mtu akiwa single, Kuna ubaya🙄🤔Kazana, kuna tuzo
kivipi maana sijaanza rasmi unganisha kikojoleo badotutakufanyia sherehe....
3 years sio mchezo😅
Ukianza kuunganisha njoo nikubi.kirikivipi maana sijaanza rasmi unganisha kikojoleo bado
tutakuzawadia box la 'CDs'😀 ukaanze kazikivipi maana sijaanza rasmi unganisha kikojoleo bado
Dah una jifanya expert Tena🤣😂tutakuzawadia box la 'CDs'😀 ukaanze kazi
We share the same. I like this song...People..my fav songView attachment 2666579
Hiyo hit song imempa nafasiPeople..my fav songView attachment 2666579
Massage Tena 🤔 (joking🤣😂😂)We share the same. I like this song...
I like the massage
Typing error bossMassage Tena(joking
)
Kweli kila nyota Ina nafasi, Imagine hana mda mrefu kwenye game.Kabisaa![]()
Huyo ndio ameshatoka tenaKweli kila nyota Ina nafasi, Imagine hana mda mrefu kwenye game.
👉 ila tour ndo hizo, streams, pesa Zina mfuata.
Mkuu utakuwa mtabiri yaani nipo hapa mtaa wa kongo namalizia ukwaju leo biashara mbaya mkuu🙇🏼♀️Au na leo upo kariakoo, una uza ukwaju🙄😂🤣