Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Hivi hii winter si ndio inaendaga mpk mwezi Sept? mshamba_hachekwi
🤣😂😂 maticha jau sana
Eti wenye division 1&2 ndo watakuwa maboss,🤣😂😂 maticha jau sana
Sio kusema hatutafika mbali sasa 🤣Waliwasaidia ili muone mambo mgumu muwe serious
Pole sana lightLittle cough & flue ☹️
Ndo kutusema Kama vile tunakufa kesho🤣😂😂.Waliwasaidia ili muone mambo mgumu muwe serious
yah....Hivi hii winter si ndio inaendaga mpk mwezi Sept? mshamba_hachekwi
😂😂 kuna mtu alinidanganya hivyo. Nikaishia kunywa konyagi na nisione chochote.Pole sana light
Hope utakuwa poa ukipiga vodka kidogo au whisky








Hii week imenuna balaayah....
sometime inaisha august ila arusha ndanindani huko umeruni baridi haiishi
Vodka ni dawa😂😂 kuna mtu alinidanganya hivyo. Nikaishia kunywa konyagi na nisione chochote.
Sitakiii
Anhaa Leo sitaki🤣🤣😂😂, kamuulize bichwa komwe🤣😂si unauliza tu bro
tatizo vibe😂Hii week imenuna balaa
Af kuna ka mtu kakanidanganya Boma hamna baridi 😂😂
nikajichanganya
Noma sanatatizo vibe😂
kuwa na marafiki....
Hamna nachojua... mie ni wa smirnoffVodka ni dawa
Konyagi ni nini cute?
Ila walijiona kama vile wao wametoboa sana,Ndo kutusema Kama vile tunakufa kesho🤣😂😂.
👉Utasikia we fulani- nakujua vizuri so hutoboii kwa hicho kichwa chakoo🤣😂
Anhaa Leo sitaki, kamuulize bichwa komwe
![]()



usinikumbushe siku ile mlivyokuwa mnapeana za uso





Nipe hint basi nikupate je 😂😂😂