YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Mshamba mimi aunt yake kwa mFrance






🥹 🥹 😅 nasubiri masaa 2 yapitehaya kashtue kimokoo chap kwa fastaa.
Weuweeeh aise kumbe
Mie bado learner hata sielewi
Ndo maana basi sio kwa kusifiwa hivyo





Ningetamfuta na miye my high school sweetheart 😂😂😂aisee
Acha tu
Eeh umeanza kitambo sana
Mnaingiaje guest na wote wanafunzi.. Mlikuwa mna guts aisee .
Mapenzi ya shule matamu sana , japo siyajui![]()





mapenzi ya shulee matramuuu mnooo.l🤣😂😂😂😂, Ukifa uozeee🤣Mshamba mimi aunt yake kwa mFrance![]()
🥹 🥹nasubiri masaa 2 yapite





chizii wee huo ududu utabaki ngoziii tyuuh.Duh poleni aiseemapenzi ya shulee matramuuu mnooo.l
Ila hayadumu sasa.
Tuliachana 1st yr chuo.
ulikuwa soma soma siyo ?Ningetamfuta na miye my high school sweetheart 😂😂😂
🤣 🤣 😅 nani kakwambia ?chizii wee huo ududu utabaki ngoziii tyuuh.
Toka 4m 5.Duh poleni aisee
Toka form 5 iyoo aissee
Au mlienda vyuo tofauti ??
Wakati nipo advance sikuwa na hata hayo mawazo .ulikuwa soma soma siyo ?
Udugu mnyukano upo kwa nani?! Tweeter nimefollow watu wachache sana, hebu nisanue nikaangalie mie![]()




spana/VAR hujamfollow??