Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,299
- 9,797
Mukamu Ukweshela?

Mukamu Ukweshela?

Hili jibu🤔, Kama vile we ndo waziri wa mitihani 😂🤣🤣kazi unayo dogo😂
Uduguu nakuombea Kwa AllahYeaaah uduguu!!
Yaani acha tunimechekaa hadi machozii, ila watu wamevurugwaa.
Huyu dgo anajikuta lectureHili jibu, Kama vile we ndo waziri wa mitihani
![]()



kufanya pepa wiki 3 sio poa😂Hili jibu🤔, Kama vile we ndo waziri wa mitihani 😂🤣🤣
Panandi mukamu ngweshela!Inga,ngweshela
Walamusha?
Abhandu wakusesha![]()

Ukute mtu unaishi kwenu au kwa ndugu afu inaingia hii text, mie naweza chekaa had nipaliwee,Yaani acha tu
Angejua Sina hata mia mbovu,
Mtu ananitumia msg kama hiyo
Mimi mwenyewe imenichekesha





Hawa Wasudan waliokuja MUHAS ni flat skrini tena! 🤔
Mwee koni ko utakundonda?Panandi mukamu ngweshela!
Nilikumiss Mukamu![]()
Nawe pia Uduguuu!!!Uduguu nakuombea Kwa Allah
Yaani sijui hata mama mwenye nyumba anafananiajeUkute mtu unaishi kwenu au kwa ndugu afu inaingia hii text, mie naweza chekaa had nipaliwee,
Utapelii umevuka viwangooo.



Mnafiki kinyama😂🤣🤣Huyu dgo anajikuta lecture[emo
mi nilikimbia aisee😂dogo wanataka kuniua hawa
Tapeli huyoo, ukijichanganya kutuma ndo imeenda😂🤣🤣Yaani sijui hata mama mwenye nyumba anafananiaje
Nimecheka sana
Sijui nimpigie
Nimsikie anavyogombeza mpangaji![]()