Labda huko sayari nyingine hapa Ukiwa na mtu ukubali ndio aduiyako mkubwa badae,hakuna uyo mwanaume wa kufanya ujifeel proud labda kiunafki huko pembeni anakuona mbweha tu anaanza na kukunanga
Labda huko sayari nyingine hapa Ukiwa na mtu ukubali ndio aduiyako mkubwa badae,hakuna uyo mwanaume wa kufanya ujifeel proud labda kiunafki huko pembeni anakuona mbweha tu anaanza na kukunanga
Kiukweli sikuhiz watu kama wamerogwa😀😀😀Mimi siwez kujichanganya kaka always naamini kwenye true love na ninapenda hasa so kunamda narelax siwez mpenda asienipenda ni kujipotezea muda
Kiukweli sikuhiz watu kama wamerogwa😀😀😀Mimi siwez kujichanganya kaka always naamini kwenye true love na ninapenda hasa so kunamda narelax siwez mpenda asienipenda ni kujipotezea muda
Kiukweli sikuhiz watu kama wamerogwa😀😀😀Mimi siwez kujichanganya kaka always naamini kwenye true love na ninapenda hasa so kunamda narelax siwez mpenda asienipenda ni kujipotezea muda
Hakika ukiwa na mtazamo huo hautayumbishwa. Watu wanapenda tukio la harusi lakini sio maisha ya Ndoa. Maana kwenye maisha ya Ndoa kuna changamoto sana. Na kama ulijichanganya kukimbilia harusi cha moto utakikuta kwenye ndoa 😅
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujiondoshea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujionfozhea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra
Mgeni Mimi: madam kwani mizigo yangu uli iweka wapi??
👉 Dr Lizzy - una taka kwenda wapi ??
👉Mgeni- nimeona una taka kuniua kwa njaa😂🤣, asubui Ina takiwa mikate m3. We una leta juisi ili nikashitue tumbo nife😂🤣🤣🤣
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujiondoshea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra