Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakika ukiwa na mtazamo huo hautayumbishwa. Watu wanapenda tulio la harusi lakini sio Ndoa πŸ˜…
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujiondoshea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra
 
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujionfozhea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra
Hakika Subra ndio kitu cha msingi😊
Kwanza ukiwa na subra utajifunza na kujionea mambo mengi ambayo yatakufanyq uboreshe maisha yako. πŸ™
 
Hakika Subra ndio kitu cha msingi[emoji4]
Kwanza ukiwa na subra utajifunza na kujionea mambo mengi ambayo yatakufanyq uboreshe maisha yako. [emoji120]

Una lako jambo ww
naijua hyo [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Kwakweli nashukuru Mungu nafikiri ilo linanifanya nimekuwa na amani sikuzote
Kuishi kuyalalamikia mapenzi ni kujiondoshea baraka za Allah kukupa mtu sahihi kilakitu kinahitaji subra

Shem kama shem mapenzi bila misukosuko,kugombana,kununiana,hayo siyo mapenzi
 
Besty nakwambia tena nisikilize vizuri, uzabzab wangu weka pembeni.
Hamna mzazi anapenda kuona binti yake yupo yupo tuu maana anajua tuu kuwa huyu anapelekewa moto tuu. Unauma sana.
Wee njoo bwana nikuoe mie tena mie wala sina mambo mengi 😝
 
Umeanza kuwapikia lini na leo unalalamika nini hapo??

Huwajui hawa viumbe wewe!!!

Anyways maisha ndio hayahayaaa!!
Acha tuishi humohumoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…