Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
I mean no malice to nobodyNicolee kapiga kwenye mshono, wanaume wanaoshinda GYM na wanao act urijali, wanatoa matusi mazito mazito,
Nasemajee Nicolee ongezaa dosage hadi wapoteaneee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2659590
Wanawake wako hivyo aiseeIla wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂
Hata rafiki yako akiwa amejazia kifua, ana six packs ama mkono kabla ya kumsifu lazima umpe tusi zito kwanza ndipo sifa inafuatia utasikia we mse... kmmk zako naona mkono umetoka! 😂
Kama unataka utengwe wenzio wajue ume left group we sema asee una kifua kizuri😂😂😂
Ukikoswa kofi ujue utatengwa.
Wanaume tuna dunia yetu😆
Mkuu siunajua lakini billionaires wanatumia philanthropy kama tax write-off??Sio lazima upeleke kanisania au msikitini, Kuna jamii kubwa yenye uhitaji wa kweli.
👉Na hawana was kuwasemea au kuwatetea😭
I had a friend o-level alikua anacheza basket yuko na Ile gym bod....Nicolee kapiga kwenye mshono, wanaume wanaoshinda GYM na wanao act urijali, wanatoa matusi mazito mazito,
Nasemajee Nicolee ongezaa dosage hadi wapoteaneee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2659590
Yeah kweliSio lazima upeleke kanisania au msikitini, Kuna jamii kubwa yenye uhitaji wa kweli.
👉Na hawana was kuwasemea au kuwatetea😭
Yeah, nishasikiaMkuu siunajua lakini billionaires wanatumia philanthropy kama tax write-off??
ni hatari kina bill gates silent killers😂Yeah, nishasikia
Mjuba akauza wadhifa- kisa wekundu 3 😂🤣🤣I had a friend o-level alikua anacheza basket yuko na Ile gym bod....
Kumbe alikua homo akaja kobolewa for 30k😬
Wanavunga Wana saidia, kumbe zinawekwa kulee😂🤣🤣ni hatari kina bill gates silent killers😂
mama yake alilia kama mtotoMjuba akauza wadhifa- kisa wekundu 3 😂🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa hadi mbavu zinaumaaa.I had a friend o-level alikua anacheza basket yuko na Ile gym bod....
Kumbe alikua homo akaja kobolewa for 30k[emoji51]
Ina umiza Sana, kuna wengine ni influence za udogoni. Pasipo kujua.mama yake alilia kama mtoto
Album nzima kashirikisha bosi wake tu🤣😂Intelligent businessman umeidaka album ya asake 'work of art'
umeskiliza ile 'i believe'Album nzima kashirikisha bosi wake tu🤣😂
Sijasikiliza, ntajipa time niicheckumeskiliza ile 'i believe'
Wanawake mna korofishana na kununiana kirahisi sana.Wanawake wako hivyo aisee
Wengine wanenda mbali kwenye ushoga kuwa karibu sana .
Nyie ni ukauzu tu kwenda mbele
Sema mna urafiki mzuri sana