Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
🤣🤣🤣🤣! Ungechukua chako mapemaaaa ausio 😁😁!!Chino ningempa hat trick ya haraka Sana Kama wapemba then najua mali yangu hapa Ni secured.
🤣🤣🤣🤣! Ungechukua chako mapemaaaa ausio 😁😁!!Chino ningempa hat trick ya haraka Sana Kama wapemba then najua mali yangu hapa Ni secured.
Chino Chino weeee 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Ningekua najisemea huyu Hana mwendo! Lazima atulie tu tulee watoto.Saa ningekuwa na wa5 roho yako kwatu Chino 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante Chino wetu 😘😘😘😘Ni lizuri na infact Udenda unatutoka Sana
Pamoja na kushusha ila bado Ni visu tu gademmm! Ni konyo nyie cc Bantu Lady🤣🤣🤣🤣! Ungechukua chako mapemaaaa ausio 😁😁!!
Tunashukuru Chino 🙏😘Pamoja na kushusha ila bado Ni visu tu gademmm! Ni konyo nyie cc Bantu Lady
Mkuu samahan hilo neno mnywani lina maana gani 😁Ni lizuri mno we litoto.
Mbantyuu Noumaaa nanusuuuu Chinoo 🕺🕺!Pamoja na kushusha ila bado Ni visu tu gademmm! Ni konyo nyie cc Bantu Lady
Nimedandia gari .... Maana yake Rafiki..!!Mkuu samahan hilo neno mnywani lina maana gani 😁
Ni kihaya_ likiwa na maana ya 'rafiki'Mkuu samahan hilo neno mnywani lina maana gani 😁
Hujadandia mnywani! Alikua anataka ufafanuzi tuNimedandika gari .... Maana yake Rafiki..!!
Ni kwa kikabila gani?Nimedandika gari .... Maana yake Rafiki..!!
Kwa Kihaya !!Ni kwa kikabila gani?
Kumbee lol!! Santrooo sana mnywanii!!!Hujadandia mnywani! Alikua anataka ufafanuzi tu
Mnywani nashukuru🙏🏼Kwa Kihaya !!
Hahaha hapa ukiingia haupigwi na kitu kizitoMbantyuu Noumaaa nanusuuuu Chinoo 🕺🕺!
Afu mtrotro katulia kinoumaaa!! Hana mapepe kabesaaa!! Hakika huwezi jutraa kuwa naeeHahaha hapa ukiingia haupigwi na kitu kizito