Ahahahhaha ile watu wengi walikuwa hawalipe di jina so ikabid nirudishe jina la mwazoLol mbona umeacha ile id yako sasa best naweweπππ!!
Nawezaje kukuchunia mieee unajua kabisa Siweziiii π€©π€©π€©π!
Huyo Shoga anakupa wakati wa kumfuatilia kwa undani kuliko hao pisi kali? Bas huyo shoga kuna kitu kawazidi hao pisi kalii wako.
watu weuweeeeeeeee
Siwezi poteza muda wangu, nilisahau kuna ignore button, una udhi, pisi kali humu zinapost picha we kazi yako kutwa kucha kupost vi imoji unajichekesha kama chizi la milembe, hau fit kwenye huu uzi na wengi hawakuelewi, fuatilia kimya kimya kama huna cha maana unatia kichefu chefu.Na uko buzzy mda wote kuifatilia hiyo laana??
Dj Waleteeeeee.
Ilaa wewe ndio mkorofi hapo kunna usemi wanasemaSiwezi poteza muda wangu, nilisahau kuna ignore button, una udhi, pisi kali humu zinapost picha we kazi yako kutwa kucha kupost vi imoji unajichekesha kama chizi la milembe, hau fit kwenye huu uzi na wengi hawakuelewi, fuatilia kimya kimya kama huna cha maana unatia kichefu chefu.
Siwezi poteza muda wangu, nilisahau kuna ignore button, una udhi, pisi kali humu zinapost picha we kazi yako kutwa kucha kupost vi imoji unajichekesha kama chizi la milembe, hau fit kwenye huu uzi na wengi hawakuelewi, fuatilia kimya kimya kama huna cha maana unatia kichefu chefu.
Lol kumbeee mi nikahisi huyu mtu mgeniiii selfika ila nikashangaa mgeni gani anabagua wa kuongea naoo lolππ!! !!Ahahahhaha ile watu wengi walikuwa hawalipe di jina so ikabid nirudishe jina la mwazo
Tinder si tabora mkuu??toto lizuri!! miss you too!
Siku ile mbeya carnival tulipishana eh?
Utanikuta tinde_shiyanga hapa nakusubiria.
Ahahhahah usijar kabisa ilo limepita kwa tiki kubwaLol kumbeee mi nikahisi huyu mtu mgeniiii selfika ila nikashangaa mgeni gani anabagua wa kuongea naoo lolππ!! !!
Fanya uibles Jioni yangu kwanzaa besttt au utatupia badae yanga tukishafanya yeitruu???
Asantreeeeeeeeehhh!! Nasubiriaa hapaa best akeee!!ππAhahhahah usijar kabisa ilo limepita kwa tiki kubwa
Huyo Mwachiluwi ni msalitk mkubwa, alikuwa team jf usiku wa manane.Lol kumbeee mi nikahisi huyu mtu mgeniiii selfika ila nikashangaa mgeni gani anabagua wa kuongea naoo lolππ!! !!
Fanya uibles Jioni yangu kwanzaa besttt au utatupia badae yanga tukishafanya yeitruu???
I mean no malice to nobody,ila Selfikaa hapana kwa kweliii.
Mie nshaizoea, najioneaa manjegekaa tyuuh.
Watu mkae kwa nywilaaa, ogopa matapeliii.
Woiiiiiih
Tinde Ni shinyanga_ pale mizani Ni njia panda ya kuelekea kahama_na shinyanga mjini.Tinder si tabora mkuu??
Amefanyeje kwani??? Amemsaliti nani kichaaa akee nawee?? Hebu acha fujoo zakooo!!Huyo Mwachiluwi ni msalitk mkubwa, alikuwa team jf usiku wa manane.
πTukiwa Mimi intelli, Dahan, Analyse, Half american, Bantu Lady, na dogo aliye maliza form 4 mwaka Jana mshamba_hachekwi ππ€£
Nobody to malice.I mean no malice to nobody,
Yeah uko sawa, nilipita hukoo.Tinde Ni shinyanga_ pale mizani Ni njia panda ya kuelekea kahama_na shinyanga mjini.
Japo unaweza dhani Ni tabora pia maana tokea nzega_tabora) mpaka tinde Ni kama dk 20 tu kwa gari.
Huu mchezo haunga hasiraa ππNobody to malice.
Usijari kabisaπ€Asantreeeeeeeeehhh!! Nasubiriaa hapaa best akeee!!ππ
Mwachiluwi ni msaliti na mkimbizi kutoka team jf usiku wa manane πAmefanyeje kwani??? Amemsaliti nani kichaaa akee nawee?? Hebu acha fujoo zakooo!!
Huu mchezo haunga hasiraa