Namba zimebak kwenye icloud hii simu aina nambaa ata moja mtu akipiga namuuliza nan au nasikilizia sout 🙏 ila nilikuchel pm nikaona kimya nikajua shemji kachukua simu ahahahahah
Namba zimebak kwenye icloud hii simu aina nambaa ata moja mtu akipiga namuuliza nan au nasikilizia sout 🙏 ila nilikuchel pm nikaona kimya nikajua shemji kachukua simu ahahahahah
Hapana ahahah alikuwa bado na kazi nilimtoa kwenye kazi so ikawa ngumu ahahha angekuwa yupo free ningemwambia embu nipeleke nyumban sem now kawa good sana
Hapana ahahah alikuwa bado na kazi nilimtoa kwenye kazi so ikawa ngumu ahahha angekuwa yupo free ningemwambia embu nipeleke nyumban sem now kawa good sana
Kuna ile ticha ili nifanya niichukie math, kiss tu alikuwa ananijua personal life.
👉Basi akahitimisha iam nothing, nikawa nafaulu masomo mengine yotee, kasoro lake🤣🤣😂