Tiriririii Tiriririii
Ahaaaaa Ahaaaa
Tiriririka kama si diaba
Najaza ndoo
Raha nnazompa
Eti kama marhaba
Nikimpa shikamoo
Haniachi njiani nafika
Mi kwake Yes sisemi No
Siwezagi kususa nisipomuona
Wafukuta moyo
Asante angalau umenionesha
Maana ya upendo
Na sio kwa nahau (kwa nahau)
Umenionesha kwa vitendo
Sitokaaga nisahau
Nilinyanyasika hapo mwanzo
Niliyaoga madharau
Kwa kumpenda asiojali upendo
Mapenzi sio mchezo wa ngumi
Nipige na khanga au ukuni
Hata ukinifinya finya haiumi
View attachment 2653560