Nikukute wapi...?Nigawie dorali mkuu
Nakusubiria michungwani hapa nikukabidhi mtoto wa kidigo
Hahaha upo na Mzigua90 au??Nakusubiria michungwani hapa nikukabidhi mtoto wa kidigo
hahaha mkuu!!
Walichofanikiwa kuwa nacho msimu huu ni majungu tu.Makolo ni failure![]()
Wanyama wanazo ila makolo hawana hata za mchongo
One among the best investors, akiwa na role model wake ben-I really appreciate Warren Buffet his business philosophies are timeless
Umeelewa haraka sana, kuna jambo
YaaniNkamu ndiyo naona sasa hivi hii post yako!
sikupatii picha ulivyokua unateleza

Kula chuma hichooo 😂😆Wanyama wanazo ila makolo hawana hata za mchongo
Afadhali umeuliza na wewe😂😂, maana mi nikikwambia Dr Lizzy kuwa huo msosi mi nilikuwa nakula utotoni ana pinga😂😂😂Unashiba?😀
Yeah I got some plans, some involve industry production, tech, na etc with the LORD blessings tutafika huko Mzee wa kupambaniaNever say never just reminding you once Buffet explained the importance of keeping a long term view and start early
wapi tena mkuuAisee mmekuja Tena mshamba_hachekwi 🤔😂😂
Dr Lizzy hivi waga una tutaania ehh🤔😂😂, una post kidogo- Afu kumbe una kwangua Hadi ukoko😂😂😂
Nilijua mmekuja kunisnitch, wewe na Poor Brain 😂😂wapi tena mkuu