Naimani atashinda huyu
Intelligent businessman ni smart.. pia ni mkaka ambaye anajiheshimu licha ya hivo
Kitu ambacho ukijui ni siri hii nakupa usimwambie.
Bwana
Intelligent businessman ni mtu saafi sana hajawahi kutwa na tabia za ajabu hapa
Kuhusu kumwaga pesa an mapesa sio bahiri an kiufupi hayupo kwenye kile kikundi cha #kataa ndoa ambacho hao watatu wako naimani wapo..
Samahani kwa kuandika huu mkeka ila soma tuu