Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaliyyah unajua kuwa huyu Intelligent businessman ana kuelewa sana na ana malengo ya dhati na wewe... Ebu sasa fanya kitu kwa ajiri yangu maana nsipendi nione ana hali aliyo nayo naomba elewa asemalo na kama umeshaelewa basi mwambie mi nikiwa shahidi
 
Anataka kuua undugu
Mapenz mapenz JamaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndugu wanakataana huku
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸƒ
Aaliyyah
usiwasikilize Poor Brain na mshamba_hachekwi
wanafiki wanafiki
Wazee wa kuwa pakazia
Yasio wahusu wanna ingilia
Maneno yao ni Kama ya Simba
Ukiya sikiliza, lazima yata kuingia😜
 
Aisee Hebu muulize huyo Poor Brain anavyo nichukianna kunipondeaπŸ€”πŸ€”
πŸ‘‰Nishawatag kumuweka unyumbaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘‰ I mean no malice to nobody
Paa paa paa 🀝🀝🀝🀝🀝🀝
Hongera sana kaka kama umefikia hatua hiyo aiseeee ujue nilikua sitaki kuamini kabisa kama utamchukua huyu Aaliyyah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…