Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani Kama mbuzi vileπŸ€”πŸ€”πŸ€”, kwani tuna undugu liniπŸ˜‡πŸ€£πŸ€£
πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί Basi Aaliyyah ushampata jamanj mi sitaku tufike huko mana wewe ndo ndgu yangu same village jamani..
Hawa wengine nimekutana nao mjini tuu πŸ™πŸ™πŸ™πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
 
πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί Basi Aaliyyah ushampata jamanj mi sitaku tufike huko mana wewe ndo ndgu yangu same village jamani..
Hawa wengine nimekutana nao mjini tuu πŸ™πŸ™πŸ™πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
Anataka kuua undugu
Mapenz mapenz JamaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndugu wanakataana huku
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸƒ
 
Antonnia

Aaliyyah

Uduguzz nilikuwepooo naingia chimboo kidogoo, kuna ubuyuuu unamwagwa huko, sitakii kuukosaa nataka niupatee ukiwaa mzima mzima.

Heka heka hizi zitaniua wallah
.
 
Aaliyyah unajua kuwa huyu Intelligent businessman ana kuelewa sana na ana malengo ya dhati na wewe... Ebu sasa fanya kitu kwa ajiri yangu maana nsipendi nione ana hali aliyo nayo naomba elewa asemalo na kama umeshaelewa basi mwambie mi nikiwa shahidi
 
Anataka kuua undugu
Mapenz mapenz JamaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndugu wanakataana huku
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸƒ
Aaliyyah
usiwasikilize Poor Brain na mshamba_hachekwi
wanafiki wanafiki
Wazee wa kuwa pakazia
Yasio wahusu wanna ingilia
Maneno yao ni Kama ya Simba
Ukiya sikiliza, lazima yata kuingia😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…