Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,468
- 96,908
mshamba_hachekwi njoo uone mfalme wa madislike karudi😂😂cheupe dawaa weeknd hiyo nipo tele 😉😉
mshamba_hachekwi njoo uone mfalme wa madislike karudi😂😂cheupe dawaa weeknd hiyo nipo tele 😉😉
Bro tuhurumiane kweli chief🙏🙏, anything, Gily😄 dili gani
Nina ugumu wa miezi mitatu. Wife yuko uzazi mwezi wa pili huu. Hapa nimegunduua wanawake hawana huruma kabisa hawapendani . Hajatokea hata mmoja wa kumsaidia wife majukumu🤣
Zimefika
Nimechoka kusubiri mahesabu, nipe dili mkuuu🤣 Sasa wewe nilitaka nichukue bajaji yako nikuletee hesabu
nikajua hujapata mtu
Ngoja tuangalie kwanz zinavyoenda. Tutajuzana🙂Nimechoka kusubiri mahesabu, nipe dili mkuuu
Bro for real namaanisha ndugu🙏🙏, iam getting pissed staying eneo Mona.Ngoja tuangalie kwanz zinavyoenda. Tutajuzana🙂
Aisee..watu watajinyongaaa
🤣🤣🤣🤣
nilikuonyesha na kapicha nikambiwa umelala.. 😂😂
umepikiwa uji na dadaKaribuni
Uongo huo Shem darling..nilikuonyesha na kapicha nikambiwa umelala.. 😂😂
Mwamba alijipanga😅mwamba!! 🤭😋View attachment 2644313