Waache wasome, angalau wafike Chuo Kikuu ili hata kama mkianza mambo yenu hayo awe anajua kuongea maneno ya Kiingereza kunogesha .......😁Wanafunzi wenyewe wanapenda mapenzi balaa sasa rijal nifanyaje cha msingi tu aepuke mimba
[Hata hajui burger ni nini 😄😄
Kazoea ndizi za kuchoma na kipaja cha njiwa na donati
Minyoo imeshtuka 🥹🥹Depal utakuwa hujala leo ndio maana unaiponda mihogo ya Lenie
Najua mambo yako ninkama haya
View attachment 2642428
Waache wasome, angalau wafike Chuo Kikuu ili hata kama mkianza mambo yenu hayo awe anajua kuongea maneno ya Kiingereza kunogesha .......![]()
Pole sana😅😅😅Minyoo imeshtuka 🥹🥹
Unapost nini kwaniii??? Nimekwambia Achana na wajaaaa 🗣️🗣️Tayariiii, few seconds naipostt😂😂
Mihogo ndio nini🤣Umeshakula mihogo tayari😅
Mizizi ya cassava 🤣🤣Mihogo ndio nini🤣
Nyau nyau nyauuuuuuuuThe office that keep u shining in Town. Nyau
Mmekula ng'ombe mzima au?Nimeshiba ndiiii
Tulia View attachment 2642430
🤣🤣🤣 njoo umchukue huyu branch meneja Jack PalladinoNyau nyau nyauuuuuuuu
Mihogo ndio nini🤣
😂😂 girls lunch.Mmekula ng'ombe mzima au?
Af 90???
Dada Deborah yaani unakula Bata mujini🤔🤔, mdogo wako nakimbizana na nyani nanjilinjii 😁😁😂😂Nimeshiba ndiiii
Tulia View attachment 2642430
Wa kuwatisha huwaoni? Hiyo mifupa ndo inakufanya mda wote uwee juu juu kwangu na kunifatilia mda woteee.Peleka mifupa yako huko, ptuuu!!
Kwani kuna siku hujacheka hadi machozi, kwa sababu seal haipo nikikukamata utacheka utoe kinyesi, we nizoee.



poleeeeeeh