Na vurugu zangu zoote, huwa sikubali mtoto wa kike kuharibiwa hatma yake hasa wanafunzi.. Mtu anaechezea watoto naona mshenzi tu na kama kuna nafasi namchomea utambii π π
Na vurugu zangu zoote, huwa sikubali mtoto wa kike kuharibiwa hatma yake hasa wanafunzi.. Mtu anaechezea watoto naona mshenzi tu na kama kuna nafasi namchomea utambii π π
Watoto wadogo tunatakiwa kuwale na kuwaongoza njia ipasayo. Sio tunalalamika tu kuwa watoto wa siku hizi wameharibika, kumbe waharibifu ni sie wenyewe. Tuwalinde watoto wadogo hasa hawa wa mashuleni