Kumbe Yanga mliwahi kufulia mpaka mkawa hamna hata mia ya kununua jezi. Kwa huruma chama cha mpira Tanzania kikawasitiri kwa kuwaazima jezi za timu ya taifa
Inasikitisha sana. Binafsi nilishakuwa Mwalimu kinondoni Muslim sikuwahi hata tongoza.. ukichezea wa mwenzako leo jiandae wako au ndugu zako.. naogopa sana kuchezea mtu awe mtoto au awe mkubwa.. walimu wanakuwa wahuni kwasababu hawana access ya kupiga parefu