M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 30, 2023 #336,661 Tinsley said: Umependeza dear misuko ya kujiachia hiyo .. Click to expand... Mbona siioni? Eti Aaliyyah kwa nini umeiondoa?
Tinsley said: Umependeza dear misuko ya kujiachia hiyo .. Click to expand... Mbona siioni? Eti Aaliyyah kwa nini umeiondoa?
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,662 Aaliyyah said: Kilivhojiri Sasa 😀 zitafunikwa had ziombe msamaha kunamtu kanishauri kesho nitembee hivhiv mjini😂😂😂 Click to expand... Yes dear ziachie hata mara moja .. misuko hiyo mizuri ,nywele hazichomi hata . no kubana ni kuvaa na kusepa
Aaliyyah said: Kilivhojiri Sasa 😀 zitafunikwa had ziombe msamaha kunamtu kanishauri kesho nitembee hivhiv mjini😂😂😂 Click to expand... Yes dear ziachie hata mara moja .. misuko hiyo mizuri ,nywele hazichomi hata . no kubana ni kuvaa na kusepa
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 May 30, 2023 #336,663 Depal said: Aunt nunua simu 😂😂 Usiku mbona picha zinatoka tu. Tutamuuza Kai tununue simu aunt Infix zero 2 Saa saba na dk 31 usiku View attachment 2640772 Click to expand... 😂😂😂Hii Tecno wereva
Depal said: Aunt nunua simu 😂😂 Usiku mbona picha zinatoka tu. Tutamuuza Kai tununue simu aunt Infix zero 2 Saa saba na dk 31 usiku View attachment 2640772 Click to expand... 😂😂😂Hii Tecno wereva
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,664 Mzee wa kupambania said: Mbona siioni? Eti Aaliyyah kwa nini umeiondoa? Click to expand... itakuwa kapita mara moja
Mzee wa kupambania said: Mbona siioni? Eti Aaliyyah kwa nini umeiondoa? Click to expand... itakuwa kapita mara moja
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 30, 2023 #336,665 Tinsley said: itakuwa kapita mara moja Click to expand... Daaah! Tinsley mambo vipi siku imeendaje rafiki yangu?
Tinsley said: itakuwa kapita mara moja Click to expand... Daaah! Tinsley mambo vipi siku imeendaje rafiki yangu?
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 May 30, 2023 #336,666 Lenie said: Uhali gani Click to expand... Nipo poa dadaake
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,667 Mzee wa kupambania said: Daaah! Tinsley mambo vipi siku imeendaje rafiki yangu? Click to expand... Nzuri sana rafiki vipi wewe huko ??
Mzee wa kupambania said: Daaah! Tinsley mambo vipi siku imeendaje rafiki yangu? Click to expand... Nzuri sana rafiki vipi wewe huko ??
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 May 30, 2023 #336,668 Mzee wa kupambania said: Mbona siioni? Eti Aaliyyah kwa nini umeiondoa? Click to expand... 😀😀Pole
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,669 Aaliyyah said: Nimezibana ushamba huu 😂😂View attachment 2640820 Click to expand... Sio mbaya aisee kwangu mie nywele nayobana ni ndefu tu aisee
Aaliyyah said: Nimezibana ushamba huu 😂😂View attachment 2640820 Click to expand... Sio mbaya aisee kwangu mie nywele nayobana ni ndefu tu aisee
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 30, 2023 #336,670 Tinsley said: Nzuri sana rafiki vipi wewe huko ?? Click to expand... Mi niko poa ni mpambano tu 😔
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 30, 2023 #336,671 Aaliyyah said: 😀😀Pole Click to expand... Tuma tena basi nionepo 😀
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 May 30, 2023 #336,672 Tinsley said: Sio mbaya aisee kwangu mie nywele nayobana ni Click to expand... Nitaziachia sikumoja napiga modo matata 😂😂naachia nywele nyie natafuta na miwani flan hiv nawazoom tu😂😂😂
Tinsley said: Sio mbaya aisee kwangu mie nywele nayobana ni Click to expand... Nitaziachia sikumoja napiga modo matata 😂😂naachia nywele nyie natafuta na miwani flan hiv nawazoom tu😂😂😂
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 May 30, 2023 #336,673 Mzee wa kupambania said: Tuma tena basi nionepo 😀 Click to expand... Wew unashangaa sana niliweka mbona nyingine
Mzee wa kupambania said: Tuma tena basi nionepo 😀 Click to expand... Wew unashangaa sana niliweka mbona nyingine
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,674 Mzee wa kupambania said: Mi niko poa ni mpambano tu 😔 Click to expand... Hakuna namna siku zinaenda ndo tumefika nusu mwaka hivyo
Mzee wa kupambania said: Mi niko poa ni mpambano tu 😔 Click to expand... Hakuna namna siku zinaenda ndo tumefika nusu mwaka hivyo
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,675 Aaliyyah said: Nitaziachia sikumoja napiga modo matata 😂😂naachia nywele nyie natafuta na miwani flan hiv nawazoom tu😂😂😂 Click to expand... Achia mamaa ukienda kwa babe abaki kushngaaaa . mie naaachiga sana mitindo hiyo mizuri nilisuka uzi wa utumbo mifupi hadi begani . nikawa nabadilisha tu style kwa kichwa
Aaliyyah said: Nitaziachia sikumoja napiga modo matata 😂😂naachia nywele nyie natafuta na miwani flan hiv nawazoom tu😂😂😂 Click to expand... Achia mamaa ukienda kwa babe abaki kushngaaaa . mie naaachiga sana mitindo hiyo mizuri nilisuka uzi wa utumbo mifupi hadi begani . nikawa nabadilisha tu style kwa kichwa
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 30, 2023 #336,676 Aaliyyah said: Wew unashangaa sana niliweka mbona nyingine Click to expand... Sio fair bana wengine hatukuwa online 🤔
Aaliyyah said: Wew unashangaa sana niliweka mbona nyingine Click to expand... Sio fair bana wengine hatukuwa online 🤔
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 30, 2023 #336,677 Tinsley said: Hakuna namna siku zinaenda ndo tumefika nusu mwaka hivyo Click to expand... Kweli ujue. Hebu nipe neno la faraja siku za mwisho zimekuwa ngumu sana
Tinsley said: Hakuna namna siku zinaenda ndo tumefika nusu mwaka hivyo Click to expand... Kweli ujue. Hebu nipe neno la faraja siku za mwisho zimekuwa ngumu sana
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 30, 2023 #336,678 Mzee wa kupambania said: Daaah! Mpaka namuonea wivu G aisee ataichakataje Click to expand... Na anavojua kuichakataaa sasa, G kwenye sex nisidanganyee yuko vyediii na anani muduu haswaaaa.
Mzee wa kupambania said: Daaah! Mpaka namuonea wivu G aisee ataichakataje Click to expand... Na anavojua kuichakataaa sasa, G kwenye sex nisidanganyee yuko vyediii na anani muduu haswaaaa.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 30, 2023 #336,679 Tinsley said: Aiseee pendaneni hivyo love is a beautiful thing , sijui alikuwa wapi sikuzote kaja kusema mwaka wa mwisho . sijawahi kuwa na mahusiano shuleni/chuo but nahisi raha kuwa na mtu ukiingia darasani unqmuona baby yule unasmile huyo unaenda kuketi . Click to expand... Ndiwoooooooo dear umejuajeeee?? mnakonyezanaa jichooo maisha yanasongaaa, kuna viji ugomvi vya kuchachua penzii bas burudaniiiii.
Tinsley said: Aiseee pendaneni hivyo love is a beautiful thing , sijui alikuwa wapi sikuzote kaja kusema mwaka wa mwisho . sijawahi kuwa na mahusiano shuleni/chuo but nahisi raha kuwa na mtu ukiingia darasani unqmuona baby yule unasmile huyo unaenda kuketi . Click to expand... Ndiwoooooooo dear umejuajeeee?? mnakonyezanaa jichooo maisha yanasongaaa, kuna viji ugomvi vya kuchachua penzii bas burudaniiiii.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 30, 2023 #336,680 Aaliyyah said: Kilivhojiri Sasa zitafunikwa had ziombe msamaha kunamtu kanishauri kesho nitembee hivhiv mjini Click to expand... Sasa unasukaa ya nn aunt akati unavaa hijab??
Aaliyyah said: Kilivhojiri Sasa zitafunikwa had ziombe msamaha kunamtu kanishauri kesho nitembee hivhiv mjini Click to expand... Sasa unasukaa ya nn aunt akati unavaa hijab??