Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoma huwa naikubali sanaa
Jamaa yupo vizuri sana kwenye aina ya mziki wake, Kwa mbali ana sikika kama Walter Chilambo and likes, ila nimegundua naye huenda ni Mnyaki wa Mbeya.

Kuna wimbo nimesikia mwishoni anaimba maneno ya Kinyaki.

Ikiwa Kwelibasi Mbeya itakuwa imeteka mziki wa Gospel πŸ™Œ
Tusishangae siku moja Saint Anne naye akawa anatuuzia Album zake za Gospel in future πŸ™Œ
 
Ukikuwa utaacha πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚! USM ALGER Katukaliajee kooni wana πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’š utadhani tumemuharibia kitumbua chakee walai mbona tunalooooπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚!
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚! USM ALGER Katukaliajee kooni wana πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’š utadhani tumemuharibia kitumbua chakee walai mbona tunalooooπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚!
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
cocastic mtrajejoooooooo sieπŸ’›πŸ’›πŸ’š hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu πŸ˜‚!!!

Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu πŸ•Ίhakuna mwingineerπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈ
 
Naweza kuhitaji kiasi kwa matumizi binafsi, naweza kupataje?
Nakutania mkuu
Hizo kuna mzee aliniletea mwaka jana, kwa sasa sina hakika kama anazo. Ngoja nitamcheki kama anazo nitakupa namba yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…