Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚! USM ALGER Katukaliajee kooni wana πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’š utadhani tumemuharibia kitumbua chakee walai mbona tunalooooπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚!
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
cocastic mtrajejoooooooo sieπŸ’›πŸ’›πŸ’š hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu πŸ˜‚!!!

Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu πŸ•Ίhakuna mwingineerπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈ
 
Naweza kuhitaji kiasi kwa matumizi binafsi, naweza kupataje?
Nakutania mkuu
Hizo kuna mzee aliniletea mwaka jana, kwa sasa sina hakika kama anazo. Ngoja nitamcheki kama anazo nitakupa namba yake.
 
We're ideologically promiscuous, and loose canon!...
To put it in more simple terms, Tanzania is ramshackle kleptocracy.......
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

You've made my day with that flawless explanation of our political ideologyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚....buuuuut, I wanted to know yours!
 
Uliadimika Mkuu, nikahisi labda Ndugu zake Sarafina kule kwa Madiba wamekuteka [emoji28]

Unadhani kwa Uzee huu nitakuwa mwanafunzi? Saivi nimebaki kucheza na wajukuu tu [emoji2957]
Acha tu

Wa kina khumbu ni shida
 
Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah πŸ˜‚ Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
 

Attachments

  • C31C751E-03C1-4422-A54C-2F45224B3509.jpeg
    1.2 MB · Views: 9
  • 85CC3CC0-AF08-4707-861C-4DB84D8EB93F.jpeg
    1.3 MB · Views: 10
Acha tu

Wa kina khumbu ni shida
Kuna siku nilikuwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere tukisubiri usafiri, kuna Dada msouth aliingia pale amejaa mno kwa umbo la kibantu πŸ™Œ

Tulikuwa na Wazungu pia mule ndani, walimtolea udenda sana yule Msouth, na mwenyewe akawa anajiachia mara aende kule mara pale ili mradi Watu wakose utulivu.

Nikawaza na tukio lako la kupotelea Kwa Madiba nikahisi umeshatekwa tayari πŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…