Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,903
Shoo shoo πNjoo unipe mrejesho wa jana kwaza ππ
Hakika nitakuwa mtiifu sana wa kupokea zawadi za bagia toka kwako π weka piilpili mingiiiiNa kachoriπ€£π€£
Nitakua nakutumia kwenye meli uonje mapishi yangu ya kikanjibai
Siamin kabisa umezingua sikupi mchongo tena ππShoo shoo π
Ahahah uyo mshamba_hachekwi huyo bahiri by nature huwezi kumuelimisha
Mwalimu wake kipofu sasa utamshauri nini?Kumbe, basi acha aendelee kula kwa macho na kuita shemelaπ€£
Oya nimekiamsha mzee baba yeye mwenyewe anayaweza ππSiamin kabisa umezingua sikupi mchongo tena ππ
Mwalimu wake kipofu sasa utamshauri nini?
Msimkimbie tu watu wajf kwa kuwajaza madog af mnakombia mitiniPole yake, @mshamba_hachek uki graduate njoo upate japo kazi ya box mdogo wangu, sharing is caring π
Msimkimbie tu watu wajf kwa kuwajaza madog af mnakombia mitini
Ahahah sasa si umemwambia aki graduateWewe hapo alipo na mwanjerwa kuna umbali ganiπ si anakuja hata kwa miguu tu hapa tunauza mitumba. Au umeelewaje mzee babaπ
Kunywa tena??π³π³π³bamia,nyanya chungu aisee hivi vitu ni kazi sana kwangu kula hasa bamia.
hongera sana kama unaviweza ni muhimu sana mwilini mimi inafika wakati nasaga bamia glasi naligida mara mbili kwa wiki kama dawa
Kwanii graduate hawezi uza mitumba hapo mwanjerwa?Ahahah sasa si umemwambia aki graduate
Muandae kiakili si unajua vijana wasikuizKwanii graduate hawezi uza mitumba hapo mwanjerwa?
Sisi tunaopenda kudeka tunapenda wazee wanatuona km wajukuu zao wanatudekeza tuπππwee Baki na vijanawako ππHayo mengii siyatakiiii, muda wangu badoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooh hongera sanaNdiyo dear
Muandae kiakili si unajua vijana wasikuiz
Kutembeza bahasha ni kazi ngumu sanaHuyu kwa sasa hataelewa, acha atembeze bahasha mwaka mzima kisha ndio unampa somo lazima ajae tu.
Kunywa tena??π³π³π³