Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani muonee huruma hata kidogo Carlton!😁😁

Jazz wa zamani namuongelea aliyekua kwenye OG Prince Of Bel Air . Kama hujaiona itafute ukiwa na muda, utaenjoy.

Sasa hivi kuna series nyingi nzuri, by the time unaikumbuka Bel Air, na muda wakutoka unakua umekaribia!πŸ™‚
 
Sure, nishapona ila hako ka alama bado kananikumbushia maumivu yake.


Mwachiluwi anaenda Mbeya pazuri kwa kina mshamba_hachekwi kupigia makelele yake huko. Dar nasikia wamemfukuza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nishachoka sifikiii tu πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • B91F3206-96D0-4D12-824A-AF6949D07A61.jpeg
    1.2 MB · Views: 3
Anaendelea kuzingua, anadanganya wazazi alikopotezea gari.

Nitaicheck.

πŸ˜‚ wasituweke sana tukasahau tulikoishia
 
Kuna siku imepita hujasema unasoma UD kweli?
Jana, juzi.
Km umeona kalete screenshots au kan quote.

Afu hakna sheria inakataza mtu kusema anakosoma au anako ishi, mda wowote, saa yoyote, hakuna limitations.

Tatizo lako unanifatilia sanaa afu unakutana na kitu ambacho hupendi kukiona, unabakii kuumia na kutesekaaa

Poleeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…