Selfika na JF: Snap it. Show it

Anaendelea kuzingua, anadanganya wazazi alikopotezea gari.

Nitaicheck.

πŸ˜‚ wasituweke sana tukasahau tulikoishia
 
Kuna siku imepita hujasema unasoma UD kweli?
Jana, juzi.
Km umeona kalete screenshots au kan quote.

Afu hakna sheria inakataza mtu kusema anakosoma au anako ishi, mda wowote, saa yoyote, hakuna limitations.

Tatizo lako unanifatilia sanaa afu unakutana na kitu ambacho hupendi kukiona, unabakii kuumia na kutesekaaa

Poleeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heaven Sent
Mama maleziii uko wapiiiiii??? Chimbo kumenogaaaa kuna bonge LA ubuyuuu, sina kifua cha kuweka hili, naupenda moyo wangu badoo.
Ufanyee ukujee nikupatieee mbea mwenzanguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ndiyo natoka kanisani; almanusura nigongwe na "ganagana" nilivyoona habari ya ubuyu. Nimwagie sasa
 
Unasoma nini hapo urubani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…