mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,809
umenikosea sana π una uhakika nakesha JFEndelea kukesha jf utapewa kazi
Gily mwanao anakataa akesh jf ππumenikosea sana π una uhakika nakesha JF
Jamanii vibayaa hivyooo, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji38][emoji38][emoji38]
Sitaki kuitwa boss wala dada![emoji3061][emoji3061]
kazuri πKwa niaba yake namuombea kura hapa selfika
Prezooo km prezoo.View attachment 2635370View attachment 2635371
Kwa niaba yake namuombea kura hapa selfika
Prezooo km prezoo.View attachment 2635370View attachment 2635371
Depal Umekula???View attachment 2635409
Njoo kabla sijamaliza!!!Mambo mazuri haya daah[emoji39]
good presentation inafaa kabisa kuwekwa kwenye food magazine....Depal Umekula???View attachment 2635409
Njoo kabla sijamaliza!!!
Utakula ndio uondoke!π πNikifika nitakula kwanza ndio nile au[emoji39]
Ahahahhahaha uyo ni kichwa mwanangumwanangu anakesha halafu ana Pepa next week Mwache afeli aone marafiki zake watakavyomkataa hawatak urafiki na vilazaπ yamemkuta ye34nbe
Unapenda kwenda kwa watu kama mtoto embu tulia kwako ukoNikifika nitakula kwanza ndio nile au[emoji39]
Utakula ndio uondoke![emoji28][emoji28]
Unapenda kwenda kwa watu kama mtoto embu tulia kwako uko
Wapi hujaelewa nikueleweshe???πAhaaa hatujaelewana[emoji51]
Wapi hujaelewa nikueleweshe???[emoji3]
Nikiogelea lazima ntazama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usiogope maji dear ,
mara ya kwanza naogelea ilikuwa grade six , asubuhi niliamka ovyo nilichezea maji kweli siku ile ... tulienda wet n wild
jaribu kwa swimming pool huwezi zama .Nikiogelea lazima ntazama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]