Hivi karibuni nimepima pima sana, kuna siku nimekaa na Dr mmoja alikuja kupima ofisi , huwa nina utani nae kapima .. kanipima akanitolea macho hivi, nilitetemeka π€£π€£π€£ alafu akasema mbona unao huku kanikazia macho nilikuwa naongea huku natetemeka then akanionesha majibu hapo jasho limetoka tayari