Selfika na JF: Snap it. Show it

binafsi toka nilipo otewa clinic nilipo enda na bibie, na sikuwahi kuuza mechi aisee na nimekuwa muoga hata kama nataka.. raha ya dk 1 .. inichomeshe mkeka hapana kwakwelii πŸ˜…πŸ˜…
Hahaha..............huo utaratibu wa kwenda Kliniki na Mama anapokuwa Mjamzito inasaidia sana kupunguza maambukizi mapya.

Kuna watoto wadogo wanapata kutoka kwa Wazazi ambao wameshindwa kujua hali zao mapema πŸ™Œ
 
Hahaha...............ndiyo msisahau kutuombea, ikiwezekana tusione na kishimo kabisa πŸ™ˆ
Kwakweli mambo yenu tunawaachia wenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜!
Wengine hawachagui kila shimo linalokatiza mbele yake yumooo hajiulizi mara mbili wakuwasaidia nyie ni mungu pekeeπŸ˜„πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!
 
Kwakweli mambo yenu tunawaachia wenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜!
Wengine hawachagui kila shimo linalokatiza mbele yake yumooo hajiulizi mara mbili wakuwasaidia nyie ni mungu pekeeπŸ˜„πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!
Ila kuna umri ukifika automatic unaacha mwenyewe.

Utaona Zote sawa πŸ™ˆπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…