Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann??
Umri huo ushakuwa mtu mzima
Yahitajika kama hujaolewa uwe na stable partner , usihangaike kama kuku .

Pia ke sie uzuri unaenda umri , ulivyo 20 mrembo haitakuwa hivyo ukiwa 30 .

Muda ni mchache hivyo kwenye fertility , uko likely kuproduce eggs nyingi kwa 20 hadi 30's baada ya hapo wanasema kizazi kinasogea .
 
Hata wasikutishee mwayaaa, maisha ni vile unaishiii, ukisikiliza ya waja mbna utapotea.
 
A

Asante kipenzi mie sijali sana [emoji23][emoji23] , God's timing ndo muda sahihi .
Hamjambo na G
Mie na G tuko poaaah.
Engs na couple yetuu ya kibabeee, afu haturingi wala nn.

Tutazaa watoto Engs na DRs. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…