Unaweka vitu moyoni dear acha yapite usijihukumu Kwa makosa sio Yako mtu ulimpenda hakupenda Kosa lako hapo nn?
Au ulimpenda akucheat Kosa lako hapo Nini?
Kias usiishi maishayako dear
Huyo aliekufanya ukajisikiavibaya yeye nae amekaa anasubir wew upone au anafanya yake wew shupaza shingo hivohivo ππ