Selfika na JF: Snap it. Show it

Eendiwoooooooo ankoli tena ifute kabisa πŸ˜πŸ˜‚!
Ntaifutaje picha ya auntiee mkali, bana ww nikibahatika kuona demu mzuri wa sura kuliko ww humu ndani ntaifuta ila mpaka sasa sijaona, β˜ΊοΈβ˜ΊοΈβ˜ΊοΈβ˜ΊοΈβ˜ΊοΈπŸ€—πŸ€—πŸ€—

Yaani basi tu we ni mtu mzima sana lkn,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, acha tu
 
Hyu dada ni pisi Kali Jamani ukweli tuseme tu
Hao top 3 pia sijaona namba zibak empty zianze no 5πŸ˜‚
 
Hapo pa Mtu mzima sana hapoo umepatiaaa kabisaaaa!!
AsanteeeeeeeπŸ˜ŠπŸ˜‚
 
Sionyeshi, ng'oo acha nibaki nayo ww upo huku kuanzia 2014 ila hujawahi muona Antonnia basi tu kafie mbele 🀣🀣🀣🀣🀣
Anijulie wapiii Tayukwa hanaga mambo mengi kabisaaaa.... πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚! Wee ankoli inaonekana una mambo mengi Ndiomana unanifahamuuπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚ !
 
Anijulie wapiii Tayukwa hanaga mambo mengi kabisaaaa.... πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚! Wee ankoli inaonekana una mambo mengi Ndiomana unanifahamuuπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚ !
Mimi tena siwezi kupitwa bana πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

☺️☺️, kwa auntie akee huna baya na mtu, kabisa

Mbaya ni mimi mdogo ako 😝😝😝
 
Hyu dada ni pisi Kali Jamani ukweli tuseme tu
Hao top 3 pia sijaona namba zibak empty zianze no 5πŸ˜‚
Aaliyaah ye34nbe amekuambukizaa upambee ujuee hakii nawagawaa mimiiiπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜!
Tayukwa usiwaaamini hawaa unajua mambo ya Teknologia lol!!
Kila leo mnasikia watu wakikimbiana baada ya kukutana live huko πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜πŸ˜
 
Mimi tena siwezi kupitwa bana πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

☺️☺️, kwa auntie akee huna baya na mtu, kabisa

Mbaya ni mimi mdogo ako 😝😝😝
Mdogo wangu ni mwanahabari wa kujitegemea humu tukupeleke wapi sasa acha tukuzoeee tuπŸ˜‚πŸ˜ŠπŸ˜Š
 
Hahaha nishasemaga ungekuwaga binti ww, ningeshakuwekea jimbo chap

Sema basi tu ndo ivo tena

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…