Kuna bro mmoja alikua ni Engineer pale ewura, akampenda mdada. Ikabidi akodi chumba na kununua robota la mitumba ili ajifanye ni muuza mitumba. Dada akaona hapa njaa kali kumbe jamaa anampima tu.unaeza ukaja kupata wale majamaa unakuta ni tajiri ila anajifanya maskini kwa muda mfupi akitafuta mwanamke ambae haombi hela, kama kwenye nigerian movies😂 utakua umeulamba😂