Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naona shida kuomba iwe mwanaume au ndugu . ikinishinda ndo naomba
Kama ni pesa unaogopa kuomba basi ni sawa tu....

Lakini kama ni hadi kuomba msaada kwenye vitu vingine labda kuna kitu hujui, au hujui kufanya, basi hapo kuna tatizo. Binafsi nina hii shida.... nakazana na kitu ambacho sina uelewa nacho, siombi msaada, afu ninashindwa....
Watu wengi wameniambia ninajikuta sana, na ndo kama hivo.... 'pride'
 
Kama ni pesa unaogopa kuomba basi ni sawa tu....

Lakini kama ni hadi kuomba msaada kwenye vitu vingine labda kuna kitu hujui, au hujui kufanya, basi hapo kuna tatizo. Binafsi nina hii shida.... nakazana na kitu ambacho sina uelewa nacho, siombi msaada, afu ninashindwa....
Watu wengi wameniambia ninajikuta sana, na ndo kama hivo.... 'pride'
Sio kwamba naogopa sitaki , unaweza niuliza una hela ya nauli nikasema ninayo .. Sipendi hivyo eti unaa wew jiongeze nipe 😂😂

Kwa vitu vingine its okay kama ni kfanya au kunisaidia jambo nipo sawa na hilo
 
Back
Top Bottom