Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
Hivi mrembo wangu Bantu Lady kaonekana mtaa huu?
Nilisikia anampelekea Mayele maua yake😅Hivi mrembo wangu Bantu Lady kaonekana mtaa huu?
HahahahaNilisikia anampelekea Mayele maua yake😅
Naona shida kuomba iwe mwanaume au ndugu . ikinishinda ndo naombakwamba kutokupenda mwanaume kwa kigezo cha pesa ni pride??
Okay ,😅😅 Slow down dada, mie mdogo wako ujue
Simple tu kuiweka sawa. Kuna vitu vichache tu ukielekezwa unakaaje sawaOkay ,
I love singing , sema sauti haina mpangilio
Okay shukrani saanaSimple tu kuiweka sawa. Kuna vitu vichache tu ukielekezwa unakaaje sawa
Kama ni pesa unaogopa kuomba basi ni sawa tu....Naona shida kuomba iwe mwanaume au ndugu . ikinishinda ndo naomba
Sio kwamba naogopa sitaki , unaweza niuliza una hela ya nauli nikasema ninayo .. Sipendi hivyo eti unaa wew jiongeze nipe 😂😂Kama ni pesa unaogopa kuomba basi ni sawa tu....
Lakini kama ni hadi kuomba msaada kwenye vitu vingine labda kuna kitu hujui, au hujui kufanya, basi hapo kuna tatizo. Binafsi nina hii shida.... nakazana na kitu ambacho sina uelewa nacho, siombi msaada, afu ninashindwa....
Watu wengi wameniambia ninajikuta sana, na ndo kama hivo.... 'pride'
👍👍👍👍👍unaweza niuliza una hela ya nauli nikasema ninayo .. Sipendi hivyo eti unaa wew jiongeze nipe
kwahiyo hata kama huna unasema unayo 😂Sio kwamba naogopa sitaki , unaweza niuliza una hela ya nauli nikasema ninayo .. Sipendi hivyo eti unaa wew jiongeze nipe 😂😂
Kwa vitu vingine its okay kama ni kfanya au kunisaidia jambo nipo sawa na hilo
Bro ss anaweza sema hana huku moyoni anapiga sala umpe tu😂kwahiyo hata kama huna unasema unayo 😂
Unaomba tu kwa shingo upandekwahiyo hata kama huna unasema unayo 😂
simpi😂 wanaume na sisi tunafanya cost reduction😂Bro ss anaweza sema hana huku moyoni anapiga sala umpe tu😂
Kuna mdudu wale wanaopiga kelele ananisumbua week yote. Kwanza haonekani.👍👍👍👍👍
Ndani??Kuna mdudu wale wanaopiga kelele ananisumbua week yote. Kwanza haonekani.
unaeza ukaja kupata wale majamaa unakuta ni tajiri ila anajifanya maskini kwa muda mfupi akitafuta mwanamke ambae haombi hela, kama kwenye nigerian movies😂 utakua umeulamba😂Unaomba tu kwa shingo upande
Sema akiba kidogo muhimu ,
Ndani eeeh ananikera duhÑdaniu
ani??
ni wewe huyu??