Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 May 13, 2023 #328,621 Grahams said: View attachment 2620286 Ili kulinda afya zetu, Tumeshauriwa Wazee kutumia kwa wingi Korosho au Karanga😋 Vijana mnaweza kujiandaa kwa kuanza kula mapema kabla ya kufika Umri wetu 😜 Click to expand... Naomba uninunulie korosho pakti 2.
Grahams said: View attachment 2620286 Ili kulinda afya zetu, Tumeshauriwa Wazee kutumia kwa wingi Korosho au Karanga😋 Vijana mnaweza kujiandaa kwa kuanza kula mapema kabla ya kufika Umri wetu 😜 Click to expand... Naomba uninunulie korosho pakti 2.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 13, 2023 #328,622 Peterrabbit said: Ndefu si ndio tamu ama😁 Hivi hiyo ndio shingo ya upanga ee Click to expand... Ndefu inakera Sijui hata ya upanga inakuaje
Peterrabbit said: Ndefu si ndio tamu ama😁 Hivi hiyo ndio shingo ya upanga ee Click to expand... Ndefu inakera Sijui hata ya upanga inakuaje
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 May 13, 2023 #328,623 msomi kutoka znz said: Yees. Kichanga cha pwani-bagamoyo kiromo. Karibuni shamba Click to expand... Kuna wakati Kaskazini - Dar, gari ikapata pancha Bagamoyo. Ule upepo mwanana + mchanga wake nilitamani gari isitengemae chap 😁
msomi kutoka znz said: Yees. Kichanga cha pwani-bagamoyo kiromo. Karibuni shamba Click to expand... Kuna wakati Kaskazini - Dar, gari ikapata pancha Bagamoyo. Ule upepo mwanana + mchanga wake nilitamani gari isitengemae chap 😁
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,361 May 13, 2023 #328,624 National Anthem said: Asante sana mkuu.. Umeadimika sana mzee Click to expand... Mzee ngoja nimalize msiba ntakutafuta baba.. Kwasasa nimerudi DSM hivyo Panapo majaliwa tutachekiana....
National Anthem said: Asante sana mkuu.. Umeadimika sana mzee Click to expand... Mzee ngoja nimalize msiba ntakutafuta baba.. Kwasasa nimerudi DSM hivyo Panapo majaliwa tutachekiana....
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 May 13, 2023 #328,625 Tinsley said: Ndefu inakera Sijui hata ya upanga inakuaje Click to expand... 🤣🤣🤣 UNapenda ipi saaa
msomi kutoka znz JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 665 Reaction score 3,092 May 13, 2023 #328,626 Depal said: Kuna wakati Kaskazini - Dar, gari ikapata pancha Bagamoyo. Ule upepo mwanana + mchanga wake nilitamani gari isitengemae chap 😁 Click to expand... Haha mnegalala tu. Watu wa pwani ni wakarimu wala msingekosa huduma. Inakua kama camping. Kila kitu kinakuwa sawa mpaka the thoght ya simu kuisha charge au kutokuwa na akiba ndo kunaleta hofu. 🤣🤣🤣
Depal said: Kuna wakati Kaskazini - Dar, gari ikapata pancha Bagamoyo. Ule upepo mwanana + mchanga wake nilitamani gari isitengemae chap 😁 Click to expand... Haha mnegalala tu. Watu wa pwani ni wakarimu wala msingekosa huduma. Inakua kama camping. Kila kitu kinakuwa sawa mpaka the thoght ya simu kuisha charge au kutokuwa na akiba ndo kunaleta hofu. 🤣🤣🤣
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,709 May 13, 2023 #328,627 Depal said: Naomba uninunulie korosho pakti 2. Click to expand... Utazipataje na Mimi Babu yako nipo Kijijini? 🤗
Depal said: Naomba uninunulie korosho pakti 2. Click to expand... Utazipataje na Mimi Babu yako nipo Kijijini? 🤗
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 13, 2023 #328,628 msomi kutoka znz said: View attachment 2620288 Click to expand... Wapi hiyo mkuu?
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 13, 2023 #328,629 Peterrabbit said: 🤣🤣🤣 UNapenda ipi saaa Click to expand... Sijui kwanza napenda nn 😂😂
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 May 13, 2023 #328,630 Grahams said: Utazipataje na Mimi Babu yako nipo Kijijini? 🤗 Click to expand... Huwezi kosa namna. Nazisubiria
Grahams said: Utazipataje na Mimi Babu yako nipo Kijijini? 🤗 Click to expand... Huwezi kosa namna. Nazisubiria
msomi kutoka znz JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 665 Reaction score 3,092 May 13, 2023 #328,631 Mzee wa kupambania said: Wapi hiyo mkuu? Click to expand... Kiromo bagamoyo kaka. Karibu na kiromo zoo
Mzee wa kupambania said: Wapi hiyo mkuu? Click to expand... Kiromo bagamoyo kaka. Karibu na kiromo zoo
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 May 13, 2023 #328,632 mshamba_hachekwi said: ye34nbe mambo yetu au vipi😂😂 View attachment 2620230 Click to expand... Aisee nimetamani naipenda ninamwak wa pili sijala nimekatazwa kula nikiona natamanigi kulia🙁
mshamba_hachekwi said: ye34nbe mambo yetu au vipi😂😂 View attachment 2620230 Click to expand... Aisee nimetamani naipenda ninamwak wa pili sijala nimekatazwa kula nikiona natamanigi kulia🙁
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,709 May 13, 2023 #328,633 Depal said: Huwezi kosa namna. Nazisubiria Click to expand... Usijali Mjukuu, Bibi yako anakuja huko soon 😜
Depal said: Huwezi kosa namna. Nazisubiria Click to expand... Usijali Mjukuu, Bibi yako anakuja huko soon 😜
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 May 13, 2023 #328,634 Tinsley said: Sijui kwanza napenda 😂😂 Click to expand... Aisee, ngoja nikue kwanza😁
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 13, 2023 #328,635 msomi kutoka znz said: Kiromo bagamoyo kaka. Karibu na kiromo zoo View attachment 2620295 Click to expand... Kuzuri sana kuwa na mtoko na familia yako siku kama hizi za weekend. Inapendeza!
msomi kutoka znz said: Kiromo bagamoyo kaka. Karibu na kiromo zoo View attachment 2620295 Click to expand... Kuzuri sana kuwa na mtoko na familia yako siku kama hizi za weekend. Inapendeza!
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 May 13, 2023 #328,636 CAPTORHINOMORPHS said: Sijawahi ogopa exams Click to expand... Hongera Genius jamani,
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 13, 2023 #328,637 Aaliyyah said: Aisee nimetamani naipenda ninamwak wa pili sijala nimekatazwa kula nikiona natamanigi kulia🙁 Click to expand... Pole kisa nini ??
Aaliyyah said: Aisee nimetamani naipenda ninamwak wa pili sijala nimekatazwa kula nikiona natamanigi kulia🙁 Click to expand... Pole kisa nini ??
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,318 Reaction score 72,098 May 13, 2023 #328,638 Aaliyyah said: Aisee nimetamani naipenda ninamwak wa pili sijala nimekatazwa kula nikiona natamanigi kulia🙁 Click to expand... unaumwa au vipi??
Aaliyyah said: Aisee nimetamani naipenda ninamwak wa pili sijala nimekatazwa kula nikiona natamanigi kulia🙁 Click to expand... unaumwa au vipi??
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 13, 2023 #328,639 Peterrabbit said: Aisee, ngoja nikue kwanza😁 Click to expand... Hahhahaaa Zamu yako bro , do the needful
Peterrabbit said: Aisee, ngoja nikue kwanza😁 Click to expand... Hahhahaaa Zamu yako bro , do the needful
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 May 13, 2023 #328,640 mshamba_hachekwi said: unaumwa au vipi?? Click to expand... Nilikuwa naumwa nikaambiwa nisile mihogo Wala zao linalotana nayo kuanzia kisamvu ugaliwake Kisamvu Cha Nazi kilicholala ni noma upate na wali
mshamba_hachekwi said: unaumwa au vipi?? Click to expand... Nilikuwa naumwa nikaambiwa nisile mihogo Wala zao linalotana nayo kuanzia kisamvu ugaliwake Kisamvu Cha Nazi kilicholala ni noma upate na wali