Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wakati Kaskazini - Dar, gari ikapata pancha Bagamoyo.

Ule upepo mwanana + mchanga wake nilitamani gari isitengemae chap 😁
Haha mnegalala tu. Watu wa pwani ni wakarimu wala msingekosa huduma. Inakua kama camping. Kila kitu kinakuwa sawa mpaka the thoght ya simu kuisha charge au kutokuwa na akiba ndo kunaleta hofu. 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…