Nyie leo nimesikia mtu anasema eti raha ya mpira, mtu na mwenzi wake wawe wanashabikia timu tofauti ya kweli haya, wangapi humu wanashabikia timu tofauti na wenzi wao mtupe majibu
Nyie leo nimesikia mtu anasema eti raha ya mpira, mtu na mwenzi wake wawe wanashabikia timu tofauti ya kweli haya, wangapi humu wanashabikia timu tofauti na wenzi wao mtupe majibu
Nyie leo nimesikia mtu anasema eti raha ya mpira, mtu na mwenzi wake wawe wanashabikia timu tofauti ya kweli haya, wangapi humu wanashabikia timu tofauti na wenzi wao mtupe majibu
Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Liverpool
Mwenza wangu cocastic shabiki gwiji wa Manchester City tunacharuana kweli ikicheza Man City na Liver ila akifungwa ananunaaaa hata salamu hatoi😁😁😁
Nyie leo nimesikia mtu anasema eti raha ya mpira, mtu na mwenzi wake wawe wanashabikia timu tofauti ya kweli haya, wangapi humu wanashabikia timu tofauti na wenzi wao mtupe majibu
Natamani ningeweza kufanya recovery kama yakwako. Tangu August 26 na bado kuna wakati inafeel kama ni juzi tuu. New normal is never easy. Uko strong sana. Pole na hongera kwa kuipokea hali mapema, inasaidia kuvuka maombolezo mapema.