Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,547
- 18,265
Hiyo ya Mwaza ni Cask au Kasiki.Chako ni chako jamani wale vyukuu enzi hizo.
Sema imekaa sana road, gari ikikosea njia kidogo imesomba wateja.
Rainbow sio sanaaaa
Liquid kwanza inawapigia kelele wanafunzi wa TIA na Jitegemee.
hii inanikumbusha mbali sana ๐Tunaokoa muda....
View attachment 2614457
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Twende kuzurura [emoji28]
Asipoelewa asije kutoa lawama hapa, Imagine kipindi kile napatwa huo mkasa kulikuwa hakuna mtindo wa kuirukia, wala kuimba na Mic ๐คMfundishe maisha huyo dogo
kila kitu kwa kiasi mzee ๐ ukizidisha umejitakia mwenyeweAsipoelewa asije kutoa lawama hapa, Imagine kipindi kile napatwa huo mkasa kulikuwa hakuna mtindo wa kuirukia, wala kuimba na Mic ๐ค
Sasa miaka yenu hii si ndiyo balaa, watu wanaujuzi hadi wa kumchora Popo akiwa angani ๐คช๐๐๐๐๐
Hata sijui B.Hiyo ya Mwaza ni Cask au Kasiki.
Ukiweza kujua hilo utakuwa umetisha, na lazima utoke na First Class ๐kila kitu kwa kiasi mzee ๐ ukizidisha umejitakia mwenyewe
Dr Kama DrTunaokoa muda....
View attachment 2614457
Sema pera bana
Hahahah
Chako ni chako kuna manyauuuu saanaChako ni chako jamani wale vyukuu enzi hizo.
Sema imekaa sana road, gari ikikosea njia kidogo imesomba wateja.
Rainbow sio sanaaaa
Liquid kwanza inawapigia kelele wanafunzi wa TIA na Jitegemee.
Itakuwa cask..Hiyo ya Mwaza ni Cask au Kasiki.
Type zenu hiziiiiiii.
Dogo ameliamsha ndani ya gari ๐ akifika home ni mwendo wa โน๏ธโโ๏ธ ๐ต ๐ฎ mpaka sa2 taarifa habari ya ITV itakapoanza ๐Tunaokoa muda....
View attachment 2614457
Zote izi umezitembelea we mzeee!Itakuwa cask..
Hongera kuwa mfuatiliajiTunaokoa muda....
View attachment 2614457
Dogo nuksi wewe[emoji1787]Asipoelewa asije kutoa lawama hapa, Imagine kipindi kile napatwa huo mkasa kulikuwa hakuna mtindo wa kuirukia, wala kuimba na Mic [emoji441]
Sasa miaka yenu hii si ndiyo balaa, watu wanaujuzi hadi wa kumchora Popo akiwa angani [emoji2957][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kwa utamu kwakweli wageni wameipa ๐ฏ โบ๏ธKwanini hujala ๐๐
Mbona inaonyesha ni tamu ๐ฅฐ๐
Yan kuna aina za mboga zinatakiwa ziambatane na ugali mkubwa