Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Nakupitishia hapo mda si mrefu!Kweli jirani ? Navyoyapenda mafenesi . Umeamsha hamu ya kula
Kaa road tu
Nakupitishia hapo mda si mrefu!Kweli jirani ? Navyoyapenda mafenesi . Umeamsha hamu ya kula
Nishtue ukipita . I missed you too jirani .Nakupitishia hapo mda si mrefu!
Kaa road tu
Yaani acha tuKidunchu sana halafu wanataka uwe na multiple skills . Kazi za watu watatu anafanya mtu mmoja .
Hatari sana , mbaya zaidi hawana huruma , hawa ma HR jamani . Uhangaike weh kwa mshahara 150K , ulipe kodi ya chumba na nauli , usuke na kuvaaYaani acha tu
Unakuwa kama roboti mtoto wa watu,asbh hadi jioni
Wengine wanataka hata usiku ukeshe
Mwendo wa kupambana.....tuu.Yaani acha tu
Unakuwa kama roboti mtoto wa watu,asbh hadi jioni
Wengine wanataka hata usiku ukeshe
Sijui wanatutakia Nini😆Hatari sana , mbaya zaidi hawana huruma , hawa ma HR jamani . Uhangaike weh kwa mshahara 150K , ulipe kodi ya chumba na nauli , usuke na kuvaa
So sad aisee , wengi hr ni wadada .Sijui wanatutakia Nini
Hata wa kiume,So sad aisee , wengi hr ni wadada .
cocastic njoo unifafanulieunamfahamu ndugu yake na pepe kalekama hamfahamu waulize wana lunyasi fc watakuonyesha ndugu yake pepe kale yupo pale tena ni kiongoz mkubw
Hatari sana ,uhakika ni kazi ya serikali . Huku kwingine majanga au upate kampuni nzuriHata wa kiume,
Tabia ni hizohizo,kupunja watu malipo.
Tumekuwa cheap labor
Nimetingwa kidogo mnywanii ila nipoo!Mywani wako Antonnia ni siku mingi pia sijamtia machoni!
Itakua Mjeda kaamua kukaba mpaka peneti Sasa hivi.
Nyie posho zenu za mei moss mmezipata!!Nimetingwa kidogo mnywanii ila nipoo!
Nimewamiss sana wapendwa!! Ukimuona Mamaa la mama mwambie nimemmiss hadi naumwaaa!! Fanyeni kunibless wapendwaaa kitambo sana!
Khakhakhaaaa...Nyie posho zenu za mei moss mmezipata!!
Kina wige uko mbeya naona walikimbiwa.
Bantu Lady au yupo safarini kwenda mallumo gallants! I miss her too.
a certified beautiful onyinyeKhakhakhaaaa...